mimi nilishuhudia kuna jamaa ALIKUWA ni bodaboda ananichukuaga home ananipeleka kazini na kunirudsha pia, ...kuna siku alitukanana na demu mmoja ivi ambaye alimtongoza mara kwa mara afu demu anachomoa, jamaa alimtukana sana na demu pia alimtukana hadi hatua ya kutaka kupigana lakin watu waliokoa hilo, sasa ikafika mida ya sa kumi na moja jion mana waligombana mchana, yule demu akaja na kikosi Cha watu, afu akakaa pembeni , wale jamaa waliokuja na Demu wakaenda kwa yule mshikaji bodaboda wakamshika wakasema wao ni police na wanataka wampeleke kutuoni jamaa aliomba kuoneshwa kitambulisho ili kuamini ni police lakini walimtia pingu na kumpeleka kwenye gari yao aina ya Alphad , wakaingia humo ndani baada ya mda kama dk5 Tukaanza kusikia makelele ndani ya gar watu wakafika milango ikafunguliwa na waliokuwamo ndani, .... ase wale jamaa walitoka wameiva wamechapwa balaaa kumbe jamaa alikuwa ni mwanajeshi siku zote hizo hakuna aliekuwa anajua, ...walipomfungulia pingu jamaa akawapakia kwenye hilo gari lao na kumbeba na demu.... sijawah kumuona huyo jamaa mpaka leo ase ...
hivyo naamini katika post yako