Hakuna kosa alilofanya hapo hata robo hajagusaUmefanya kosa sana kuleta vitu kama hivi humu uwe una meza mate kidogo sio vyote vya kusema humu
Kama ni wanaridhaa(amateurs) wataacha alama ila kama ni wajuzi (professionals) kutrace alama zao ni kazi moja kubwa sana
Jr
Sahihi sana locard's principle inadai hivyo na ......Jemedari Mshana Jr lakini wenye fani yao wanakwambia tukio lolote lazima ibaki clue au alama, sema ugunduzi na utambulikaji unategemea mambo mawili, weledi na ufanisi wa watekeleza tukio pia uzoefu wa wafuatiliaji.
Sawa lakini vitu vingine mtu ukijua sio kuviachia vikiwa vizima vizima bhana
Kwa kweliNdio maana nikaweka kipengere cha pili kwamba kutambua/kugundua hizo alama itategemea sana ubobevu, taaluma, na uzoefu wa hao wafuatiliaji wa alama.
Tukirudi kwenye mada, hata humu jamvini ni kuwa makini tu. Iwe mtaani au popote pale.
Nani kasema mimi tiss...
Amen barikiwaNilichoandika hapa ni 1/4 ya uhalisia wote... Hii ni mada ya kawaida sana...
Jr
Dogo dunia imebadilikaSawa lakini vitu vingine mtu ukijua sio kuviachia vikiwa vizima vizima bhana
Sawa mkuu nimekubali kwa kweli!!
Kwa kweli leo hadi kanishtua mtani wangu huyuMada nzuri na inaeleweka
Sio zile mada zako za kichawi chawi