Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,700
Hayo sawa...
Je; unaweza kutuambia ni kwa nini TBCCM inashindwa hadi na Azam ya Bakhresa....??
TBC wanazo muda mrefu tu hata kwenye miaka 50 ya uhuru zilikuwepo uwanja wa taifa
Hayo sawa...
Je; unaweza kutuambia ni kwa nini TBCCM inashindwa hadi na Azam ya Bakhresa....??
kile kibanda unaweza kukuta kina uhusiano na kiongozi wa chadema ndio maana hawafikirii kujenga ofisiUnaishangaa TBC kukosa drones camera, mi nilitegemea ushangae CHADEMA wanaolipwa zaidi ya mil 250 kwa mwezi ndani ya miaka mitano hawana office wamepanga tu kwenye kibanda cha choo tu pale UFIPA
Kumbe ni drone camera na niza azam tv!!!, tapeli moja la kisiasa lilisha wa aminisha waTz kuwa niza kiukawaukawa.
Nalipendaga Sana Neno Hili La Kizungu " So What? ".
ni remote-controlled. Zinapiga picha kotokea utosini(top viewed). Zina umbo la helkopta na zina ukubwa sawa na ndege kunguru na ndiyo maana ndege hao huzifuata wakifikiri ni kunguru wenzao.
Kwa wale amba pengine huwa mnabaki kushangaa na kuacha kufuatilia hotuba za wanasiasa na sera zao, nimeona niwahabarishe na ukitaka kuona namna vijana wa bakheresa wanavyofanya kazi, tembelea basi lao kubwa ambalo huwa liko eneo la tukio.
wewe huna akiliKumbe ni drone camera na niza azam tv!!!, tapeli moja la kisiasa lilisha wa aminisha waTz kuwa niza kiukawaukawa.
nasikia milioni 250 wanazopata chadema kama ruzuku ni kubwa kuliko kodi inayokusanywa na serikali ndiyo maana tbc imechoka.Mkuuusaidie ni ofisi ipi ya ccm ilijengwa na ccm.sasa hivi kwenye kampeni mnatumia magari ya serikali mnachofanya ni kubadirisha plate number pamoja na kuitawala nchi hii for 50 years.bahati tu Hamna aibu
Kwa polisi ya Tanzania zitaona vibaka na mama ntilie tu. Ujambazi, meno ya tembo na madawa ya kulevya zitakua zimeharibika lenzi.Drone cams in action, Tanzania Police wanaweza kuzitumia ktk matukio kama ya kuangaza wauza madawa ya kulevya, ujambazi hata matukio ya ugaidi when tipped au police pursuits barabarani.
Ofisi nyingi na viwanja vyote vya mpira wa miguu wanavyomiliki CCM vilijengwa na wananchi wote wakati wa chama kimoja kupitia michango na kuongeza bei za vitu kama vinywaji baridi, mafuta na bia ili kuchangia ujenzi wake.
Ndugu, ukota wenye uelewa finyu kwangu umegonga mwamba,
Ni ukweli usiopingika kwamba kila mtu alishuhudia chadema, wakisambaza elimu ya urai na kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kwa miaka mingi tu lakini ccm wakiponda Kodi za wananchi huku wakiutangazia umma watapiga bao la mkono huu ni upuuzi kabisa.
Chadema wamewekeza kwa muda mrefu kukijenga chama chao kila kijiji tena kwa muda mfupi sana wakipigwa mabomu na wengine kuuawa na jeshi la polisi ili kuwakatisha tamaa vijana wasijiunge upinzani lakini wao wamo na leo tunashuhudia matunda yao mpaka Lowassa na Sumaye wamejiunga upinzani.
Tunataka Tanganyika yetu iwe mvua liwe jua serikali 3 ni lazima.
Ushamba wako na unawaeleza. Kwani hizo kamera zinazokuwa attached kwenye ''drone'' ni kitu cha kushangaza sana. Mbona hata mimi nimeinunua, mwaka 2013, na nimeitumia sana!Ni Remote-controlled. Zinapiga picha kotokea utosini(Top viewed). Zina umbo la Helkopta na zina ukubwa sawa na ndege KUNGURU na ndiyo maana Ndege hao huzifuata wakifikiri ni Kunguru wenzao.
Kwa wale amba pengine huwa mnabaki kushangaa na kuacha kufuatilia hotuba za wanasiasa na sera zao, nimeona niwahabarishe na ukitaka kuona namna vijana wa Bakheresa wanavyofanya kazi, tembelea Basi lao kubwa ambalo huwa liko eneo la tukio.
Tbc kupata gari la kusasa la matangazk mpaka wachina watupe azam yeye ana haswa mpaka kujua vipya vilivyoko sokoni?ukweli ni kwamba exposer wanazopata viongozi nje ya nchi haziisaidii nchi kuna haja ya kufuta ziara nje ya nchi kama hatuendi jifunza bali ni kutalii
1. Ukome kumuita mwenyekiti wangu tapeli
2. Ni kwamba huelewi kiswahili au ubongo wako unashida?
3. Nashukuru kwa kufuatilia uzinduzi wetu
kwenu nyinyi watu kupigwa mabomu kuvunjwa viuno na hata kupoteza uhai kwenye mikutano yenu ni sehemu ya uwekezaji wa chama!?
kweli nyie wapumbavu na malofa!
Maandiko matakatifu kutoka kitabu cha MHUBIRI yanasema, " MHUBIRI 4:13 Heri kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu, ambaye hajui tena kupokea maonyo"
Huko Iringa ofisi za chadema ziko guest house