Camera za Azam-Tv kwenye mikutano ya kampeni

Camera za Azam-Tv kwenye mikutano ya kampeni

Ni kweli kabisa,ofisi za chadema kule iringa zipo guest house ya Sambala.

Nini kinaendelea?
Basi watu wanatumia hiyo opportunity kuingia na michepuko kwa kisingizio cha kwenda kwenye harakati/ofisi za chadema kumbe wanaenda kugegedana.

Chanzo ni nini?

Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika toka kwenye #msigwa ni kuwa chanzo cha wao kuweka ofisi guest ni ubadhirifu wa pesa za mauzo ya chama na ruzuku uliofanywa na "promota"

Kazz kweli kweli

Na mimi nikienda iringa likizo nitaenda sambala si pale jilani na #ffu au #highlandsec
 
mmefanya uwekezaji wa roho za watu kule Arusha,mmefanya uwekezaji wa damu ya mwangosi pale iringa tabora,
mwaka huu sijui mtawekeza roho za watu wapi!?

Enenda zako shetani mkubwa weye ,kawajaribu wengine hapa umegonga mwamba
 
Unaishangaa TBC kukosa drones camera, mi nilitegemea ushangae CHADEMA wanaolipwa zaidi ya mil 250 kwa mwezi ndani ya miaka mitano hawana office wamepanga tu kwenye kibanda cha choo tu pale UFIPA
.wakati huo huo tunakushangaa wewe kuijua ofisi ya CDM kuwa ipo ufipa halafu ni choo,ulienda kufanya nini kama haikuhusu?ulo.fa huo
 
wewe bana unachekesha sana! zile ni drones ni za chadema! zimenunuliwa zaidi ya elfu 5• zingekuwa za Azam wangeshaanzaga kuzitumia toka kampeni za ccm zilipozinduliwa! zile ni drones za chadema/ukawa!
Kwenye mkutano wa ccm zilikuwepo ile picha nliyoattach humu ulikuwa mkutano wa ccm, ila cdm waliitumia toka mkutano wa mwanza
 
Heheheheee! Umenifurahisha saana, yaani umefanya ionekane kama zinauzwa billions of money! Wakati in real sense, kila mtanzania mwenye smartphone ya kuanzia Tshs 200,000 hata chini ya hapo anaweza kumiliki hicho ki RC Helicopter/Quadcopter drone chake mwenyewe. Hivi huwa ukisikia ebay unafikiri watu wanafanya nini kule?

Nimeamini 'Fear of the Unknown' inatutafuna Watanzania. Ndio maana Ndugu Lowassa ameamua kuweka Hotuba kwenye internet wenda tutajifunza kuitumia internet kujua habari za duniani. Watanzania tunamcheka mtu akinunua ki Vitz chake kwa milion sita, saba tunakiita baby walker, wakati tunamheshimu mtu wenye kikamera cha chini ya laki tatu (hapo nimeinflate USD:TZS exchange rate, maana you could actually get one for less than US$70 plus shipping).

Tutafute Elimu Elimu Elimu jamani, itakuweka huru Watanzania.

Mkuu umenifumbuaa Sanaa kumbe zinauzwa bei Hiyo sasa hizo ndio nzurii kwa #serfie I must find one... Ila hapo kwenye elimu mkuu ujuee umenenaa eeehhh
 
Hayo sawa...
Je; unaweza kutuambia ni kwa nini TBCCM inashindwa hadi na Azam ya Bakhresa....??

Mkuu ni gharama kubwa sana.. Hilo OB bus lenye vifaa vya kisasa kabisa( studio ikiwepo ndani, drones) tunazungumzia USD 1M.
Azam ni wapenda mabadiliko.
Azam TV hilo bus limetengenezwa China na Higer Company inayotengeneza buses za abiria.

TBC CCM wasubiri kupewa msaada tuu toka China Govt.

Au wasubiri October UKAWA waje na mabadiliko tunayoyahitaji, TBC inatakiwa kufanyiwa hayo Mabadiliko.
 
So What = Are You Also Very Ludicrous That You Can't Grasp My Point?

Ain't no mean to insult ya just wanted to tell da meaning of "so what" as it is used to meaning those days in school.
I think I & I not even ridiculous! Seen?
 
Ain't no mean to insult ya just wanted to tell da meaning of "so what" as it is used to meaning those days in school.
I think I & I not even ridiculous! Seen?

Na Kiingereza Chako Cha Ras Simba Cha Makumbusho Na Sinza Mapambano.
 
****************
 

Attachments

  • 1440947973985.jpg
    1440947973985.jpg
    11.4 KB · Views: 253
kwenu nyinyi watu kupigwa mabomu kuvunjwa viuno na hata kupoteza uhai kwenye mikutano yenu ni sehemu ya uwekezaji wa chama!?

kweli nyie wapumbavu na malofa!

Huyu jamaa anazungumzia suala la watu kuvunjwa viuno na kupoteza uhai ni shahidi mzuri juu ya ukiritimba wa serikali ya chama..
 
Mkuu ni gharama kubwa sana.. Hilo OB bus lenye vifaa vya kisasa kabisa( studio ikiwepo ndani, trones) tunazungumzia USD 1M.
Azam ni wapenda mabadiliko.
Azam TV hilo bus limetengenezwa China na Higer Company inayotengeneza buses za abiria.

TBC CCM wasubiri kupewa msaada tuu toka China Govt.

Au wasubiri October UKAWA waje na mabadiliko tunayoyahitaji, TBC inatakiwa kufanyiwa hayo Mabadiliko.

Wachina walishatoa msaada kitambo wa gari la kurushia matangazo TBC lenye dhamani ya Bilion 6!!
 
Back
Top Bottom