Camera za Azam-Tv kwenye mikutano ya kampeni

Camera za Azam-Tv kwenye mikutano ya kampeni

Unaishangaa TBC kukosa drones camera, mi nilitegemea ushangae CHADEMA wanaolipwa zaidi ya mil 250 kwa mwezi ndani ya miaka mitano hawana office wamepanga tu kwenye kibanda cha choo tu pale UFIPA

Ebu usijitoe ufahamu... Mada ni nini hapa...??

Anyway najaribu kusoma hapo kwenye kijani lakini siambulii kitu... Unamaanisha nini..??
Au wewe ni miongoni mwa wale waliopunguziwa viwango vya ufaulu...??
 
Unaishangaa TBC kukosa drones camera, mi nilitegemea ushangae CHADEMA wanaolipwa zaidi ya mil 250 kwa mwezi ndani ya miaka mitano hawana office wamepanga tu kwenye kibanda cha choo tu pale UFIPA
nasikia milioni 250 wanazopata chadema kama ruzuku ni kubwa kuliko kodi inayokusanywa na serikali ndiyo maana tbc imechoka.Mkuuusaidie ni ofisi ipi ya ccm ilijengwa na ccm.sasa hivi kwenye kampeni mnatumia magari ya serikali mnachofanya ni kubadirisha plate number pamoja na kuitawala nchi hii for 50 years.bahati tu Hamna aibu
 
nasikia milioni 250 wanazopata chadema kama ruzuku ni kubwa kuliko kodi inayokusanywa na serikali ndiyo maana tbc imechoka.Mkuuusaidie ni ofisi ipi ya ccm ilijengwa na ccm.sasa hivi kwenye kampeni mnatumia magari ya serikali mnachofanya ni kubadirisha plate number pamoja na kuitawala nchi hii for 50 years.bahati tu Hamna aibu
Ofisi nyingi na viwanja vyote vya mpira wa miguu wanavyomiliki CCM vilijengwa na wananchi wote wakati wa chama kimoja kupitia michango na kuongeza bei za vitu kama vinywaji baridi, mafuta na bia ili kuchangia ujenzi wake.
 
Mapoyoyo sana na bado wanaona ni haki yao kukosa nyenzo hizo.
Tata madiba

Mwaka huu tuko macho tutasimama kidete kupinga hila ovu zote wanazozifanya ccm. Wameua uchumi wa nchi kila mtanzania anadaiwa Tshs 600,000/= na maendeleo ya viraka viraka tu!
 
Last edited by a moderator:
Ni Remote-controlled. Zinapiga picha kotokea utosini(Top viewed). Zina umbo la Helkopta na zina ukubwa sawa na ndege KUNGURU na ndiyo maana Ndege hao huzifuata wakifikiri ni Kunguru wenzao. Kwa wale amba pengine huwa mnabaki kushangaa na kuacha kufuatilia hotuba za wanasiasa na sera zao, nimeona niwahabarishe na ukitaka kuona namna vijana wa Bakheresa wanavyofanya kazi, tembelea Basi lao kubwa ambalo huwa liko eneo la tukio.

Ingia Hapa

dron.jpg

drone.jpg

drone1.jpg
drone2.jpg

images.jpg
 
Unaishangaa TBC kukosa drones camera, mi nilitegemea ushangae CHADEMA wanaolipwa zaidi ya mil 250 kwa mwezi ndani ya miaka mitano hawana office wamepanga tu kwenye kibanda cha choo tu pale UFIPA

Ndugu, ukota wenye uelewa finyu kwangu umegonga mwamba,

Ni ukweli usiopingika kwamba kila mtu alishuhudia chadema, wakisambaza elimu ya urai na kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kwa miaka mingi tu lakini ccm wakiponda Kodi za wananchi huku wakiutangazia umma watapiga bao la mkono huu ni upuuzi kabisa.

Chadema wamewekeza kwa muda mrefu kukijenga chama chao kila kijiji tena kwa muda mfupi sana wakipigwa mabomu na wengine kuuawa na jeshi la polisi ili kuwakatisha tamaa vijana wasijiunge upinzani lakini wao wamo na leo tunashuhudia matunda yao mpaka Lowassa na Sumaye wamejiunga upinzani.

Tunataka Tanganyika yetu iwe mvua liwe jua serikali 3 ni lazima.
 
Tbc kupata gari la kusasa la matangazk mpaka wachina watupe azam yeye ana haswa mpaka kujua vipya vilivyoko sokoni?ukweli ni kwamba exposer wanazopata viongozi nje ya nchi haziisaidii nchi kuna haja ya kufuta ziara nje ya nchi kama hatuendi jifunza bali ni kutalii
 
Wewe kweli bado poyoyo yaani hata hilo unashangaa hadi unafungulia thread kweli hauna kazi zaidi ya kujipendekeza lumumba.


swissme

mkuu kumbuka ccm ajira walizo zizalisha kwa kpnd cha miaka 10 mpaka nw ni mbili 2 moja ni kuokota makopo na ku bet so inategemea yy myb alikutana na hyo drone camera wkt anatafuta makopo au anaenda kubet
 
Kuna geast house matata hapa Dar nasikia huwa zinaruka chumbani kukusanya habari za 'kiintelijensia', haa haaaaaa!
 
Kwa kweli azam wako vizuri mm mwenyewe na jamaa zangu kama watatu tuliamua kwenda tukajionee hizi camera,ama kweli ushamba mzigo
 
Huko Iringa ofisi za chadema ziko guest house

Ni kweli kabisa,ofisi za chadema kule iringa zipo guest house ya Sambala.

Nini kinaendelea?
Basi watu wanatumia hiyo opportunity kuingia na michepuko kwa kisingizio cha kwenda kwenye harakati/ofisi za chadema kumbe wanaenda kugegedana.

Chanzo ni nini?

Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika toka kwenye #msigwa ni kuwa chanzo cha wao kuweka ofisi guest ni ubadhirifu wa pesa za mauzo ya chama na ruzuku uliofanywa na "promota"

Kazz kweli kweli
 
Technologia ya kisasa na sasa hivi ziko nyingi saana hapa TZ.tembelea COSTECH kijitonyama kwa Dr.Mshinda utapata maelezo ya jinsi zinvyofanya kazi.Bei yake siyo mbaya hazifiki dolla 200 na ni za plastiki..Hata ikitunguliwa inakuwa imekwisha tuma piccha..
 
Back
Top Bottom