Guru Master
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 594
Mmekuwa na tabia ya kuwapigia simu wateja. Binafsi ni mteja ambaye sipendi usumbufu kabisa. Calls zenu za kuniambia promotions sina interest nazo. Sitaki promotions
Na pia nikihitaji kitu si kuna menu yenu na website? Sasa kwa nini mnipigie simu kila mara? Sitaki usumbufu line ni yangu na simu ni yangu.
Please acheni hiyo tabia na ya kutuma sms za matangazo kwangu. Sipendi kero.
Sisi wengine tunatumia simu kwa mambo muhimu tu siyo usumbufu wenu. Muelewe please.
Na pia nikihitaji kitu si kuna menu yenu na website? Sasa kwa nini mnipigie simu kila mara? Sitaki usumbufu line ni yangu na simu ni yangu.
Please acheni hiyo tabia na ya kutuma sms za matangazo kwangu. Sipendi kero.
Sisi wengine tunatumia simu kwa mambo muhimu tu siyo usumbufu wenu. Muelewe please.