Calculus: Swali limekosewa, limekosewa wapi?

Calculus: Swali limekosewa, limekosewa wapi?

Makanyaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2007
Posts
11,544
Reaction score
7,484
Swali la kwanza limekosewa


Jibu lake liko kwenye attachment hiyo hapo chini. Ni jibu na si njia ya kufikia jibu hilo. Aliyefanya swali hili atakuwa alikosea kwenye stage ipi?

NB: Kilichokosewa hapa ni jibu, yaani swali liko sahihi, ila jibu lake ndiyo haliko sahihi
 

Attachments

Jamani hili swali majibu yake yameshindikana kabisa kupatikana humu jukwaani, lol?

Ninajaribu kuigiza statement ya ma-afande wangu jeshini. Ilikuwa tukifanya makosa wanaamua kutupa adhabu wanasema "kunja ngumi", yaani upige push-up zile za kutumia ngumi. Sasa afande akishasema kwa mara ya kwanza, mnakuwa manjiishauri shauri kidogo huku mkimwangalia usoni kwamba labda anaweza akabadilisha uamuzi na kuwasamehe. Mkiwa bado katika hali hiyo ya kujishauri shauri, halafu na yeye kumbe hana mpango wa kuwasemehe, mtamsikia anarudia tena kwa kusema "hivi hili zoezi la kukunja ngumi limeshindikana kabisa".

Akishasema hivyo ndiyo hapo mnagundua kuwa kumbe hana mpango wa kusamehe, inabidi wote mkunje nguni
 
Kilichokosewa hapa ni jibu, yaani swali liko sahihi, ila jibu lake ndiyo haliko sahihi. Jibu sahihi ni hilo nililoliweka kwenye hiyo attachment, likiambatana na PROOF zinazoonyesha kuwa hilo ndiyo jibu sahihi na si jibu lile la kwenye link ya website iliyowekwa hapo juu
 
Back
Top Bottom