Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 119,260
- 142,059
Hakupaswa kumuita CAG muongo... kama anavielezo vyote kwamba mzigo upo kwenye mokenta angevileta front kama ushahidi na kuondoa sintofahamu...
Hizi ni dharau sababu tu CAG alikwisha kua na maelewano mabaya na Bunge sababu ya kutumia neno dhaifu ndiyo kila kiongozi amtende kama mtoto vile anayvojisikia...
Pascal Mayalla umesema... "Ukaguzi huanza kwa Entrance Meeting na kumalizika kwa Exit Meeting, hivyo inawezekana hadi CAG anafanya exit meeting, hizi sare za Polisi zilikuwa hazijaingia, lakini baadae ziliingia na ni kweli ziko ndani ya makontena"
na...
Abdul Nondo ameelezea kwamba... "Mh.waziri anasema mzigo upo kwenye Kontena alienda kuona ,Mzigo uliagizwa 2015 leo 2019 huo mzigo upo kwenye makontena badala ya kuwa Bohari kuu ya jeshi la polisi au hata kuwa tayari kugawiwa kwa polisi , katika Kontena sare zinafanya nini ?"
Ukaguzi na taratibu zote zimefanyika kwa nini hizo sare zisionekane, zije kusemwa zimeonekana baada ya ukaguzi kupita? kama kweli zipo...
Cc: mahondaw
Hizi ni dharau sababu tu CAG alikwisha kua na maelewano mabaya na Bunge sababu ya kutumia neno dhaifu ndiyo kila kiongozi amtende kama mtoto vile anayvojisikia...
Pascal Mayalla umesema... "Ukaguzi huanza kwa Entrance Meeting na kumalizika kwa Exit Meeting, hivyo inawezekana hadi CAG anafanya exit meeting, hizi sare za Polisi zilikuwa hazijaingia, lakini baadae ziliingia na ni kweli ziko ndani ya makontena"
na...
Abdul Nondo ameelezea kwamba... "Mh.waziri anasema mzigo upo kwenye Kontena alienda kuona ,Mzigo uliagizwa 2015 leo 2019 huo mzigo upo kwenye makontena badala ya kuwa Bohari kuu ya jeshi la polisi au hata kuwa tayari kugawiwa kwa polisi , katika Kontena sare zinafanya nini ?"
Ukaguzi na taratibu zote zimefanyika kwa nini hizo sare zisionekane, zije kusemwa zimeonekana baada ya ukaguzi kupita? kama kweli zipo...
Cc: mahondaw