Ni mwaka sasa bado naskia kelele za mwendazake na ni mwaka sasa toka hangaya aongoze!!Mama anairudisha nchi katika nidhamu, anaitoa katika fikra za kiwendawazimu, mwendawazimu huwa anakusanya makopo lakini hajui ayafanyie nini! Sasa ATCL wameshaelekezwa wafanye biashara na siasa haitawalinda, na uongozi wa ATCL ukishindwa basi uondoke wenyewe. Mama anataka faida!
Nani anataka mtori!Ziuzwe
Magu alinunua ndege kama anavyonunua ng’ombe.Biashara ya ndege sio kama kufuga ng'ombe
Tutaendelea kuagiza CAG afanye special audit sehemu mbalimbali, hasa ununuzi wa ndege na korosho na mengineyo, Kisha tunakuwa tunalipua moja moja, mtu wa hovyo lazima aonekane wa hovyo, asipewe legacy isiyokuwa yakeNi mwaka sasa bado naskia kelele za mwendazake na ni mwaka sasa toka hangaya aongoze!!
NATARAJIA mwaka huu uwe wa mwisho kumnanga jpm
ila sababu ya ujinga wenu mtaendelea tuu ad25 ili kuficha mazaifu yenu
*by the way nyumbu wenzio washahama kwa jpm habari ya mujini a.k.a chaka ni russia ukraine war
Umepiga ushuziMama anairudisha nchi katika nidhamu, anaitoa katika fikra za kiwendawazimu, mwendawazimu huwa anakusanya makopo lakini hajui ayafanyie nini! Sasa ATCL wameshaelekezwa wafanye biashara na siasa haitawalinda, na uongozi wa ATCL ukishindwa basi uondoke wenyewe. Mama anataka faida!
Goodluck..... ila msijisahau mkashindwa kutengeneza legacy yenu 2025 sio mbaliTutaendelea kuagiza CAG afanye special audit sehemu mbalimbali, hasa ununuzi wa ndege na korosho na mengineyo, Kisha tunakuwa tunalipua moja moja, mtu wa hovyo lazima aonekane wa hovyo, asipewe legacy isiyokuwa yake
Kikao Cha familia kinaendelea, tutatoa majibuHaya Magufuri kaleta hasara kweli nini kifanyike, (akamatwe, afungwe au anyongwe)
Issues updates ni hizi kwa sasa ...
Tetesi: - Standard Chartered Bank kufunga operation zake Tanzania
Kuna hii habari kwamba Standard Chartered Bank wanataka kufungasha vilago ikoje? Kama ni kweli, Juzi kati tuliambiwa, mama kayafufua mabenki hili halijafufuka?. NB; Standard Chartered Bank ni banker wanguwww.jamiiforums.com
Nimecheka sana hapo kwa mwendawazimu kukusanya makopo kibao lakini hajui ayafanyie nini na ukiangalia Magufuli alivyonunua midege hiyo kwa fujo na mbwembwe kibao leo hii yamekuwa sehemu za kutagia njiwa!!Mama anairudisha nchi katika nidhamu, anaitoa katika fikra za kiwendawazimu, mwendawazimu huwa anakusanya makopo lakini hajui ayafanyie nini! Sasa ATCL wameshaelekezwa wafanye biashara na siasa haitawalinda, na uongozi wa ATCL ukishindwa basi uondoke wenyewe. Mama anataka faida!
Na Hangaya alikuwa sehemu ya awamu hiyoAwamu ya tano ilikuwa awamu ya weziView attachment 2187915
Kwenye ripoti ya CAG ya mwakani Atcl watapata faida ya bilioni 60Mama anairudisha nchi katika nidhamu, anaitoa katika fikra za kiwendawazimu, mwendawazimu huwa anakusanya makopo lakini hajui ayafanyie nini! Sasa ATCL wameshaelekezwa wafanye biashara na siasa haitawalinda, na uongozi wa ATCL ukishindwa basi uondoke wenyewe. Mama anataka faida!
Tulikuwa tunaongozwa na mwehuUlikurupuka kutoka usingizini bila plan yoyote na kuanza kununua ndege