CAG amgusa Sirro mfuko wa maafa

CAG amgusa Sirro mfuko wa maafa

Slaa hakufeli upadre Uwe unaelewa!
Failure ina include kufaulu na kushindwa ku maintain na ukaacha halkadhalika kushindwa mtihan!! Hakuna kitu kibaya kujiona genius while u don know nothin'. Kanuni ya failure ni hiyo.. ishi humo.
 
Failure ina include kufaulu na kushindwa ku maintain na ukaacha halkadhalika kushindwa mtihan!! Hakuna kitu kibaya kujiona genius while u don know nothin'. Kanuni ya failure ni hiyo.. ishi humo.
Ni mjinga tu anayeamini Dr Slaa aliacha upadre!
 
Ifike wakati wanaoteuliwa wapimwe uwezo wa kazi na wananchi tena kwa kura siyo mwonekano
Mkuu
Una hoja nzuri sana tena ni hoja inayopelekea uwajibikaji kuwa haiba ya kudumu kwa kila nafasi ya uongozi.

Tatizo ni kwamba hapa Tanzania kuna kikundi kidogo cha watu kinamiliki funguo za mamlaka za nchi. Jeshi, Usalama, Mahakama, Bunge na Hazina. Kundi hilo halioni taabu kumuua Mtanzania yeyote anayetishia maslahi yao.

Maslahi yao sasa ndo hizo namba unazpzisoma kwenye ripoti ya CAG kila muhula.

Unaweza kutafuta hata kwa darubini kutafuta ni hatua gani ziliwahi kuchukuliwa dhidi ya wenye hati chafu za ukaguzi wa CAG. Imefika mahala aibu imekuwa kubwa wanarekebisha sheria za ukaguzi wa hesabu za serikali kufavor hati chafu kwa kuzipa madaraja.


Mkuu hapo zimwi letu ni CCM kwa ujumla wake na siyo mtu mmoja mmoja
 
Sitashangaa kusikia Siro kahusika. Maana ule utawala wao ulikuwa umelaanika.
Itakuwa zilichotwa kwa kuchungulia akaunti kama walivyo fanyiwa wengi.
Sina shaka kwamba nazo ziko China.
 
Na wengine wote walio tajwa wakamtwe wakajibu pesa zetu wamepeleka wapi, kama wange shuhudia siku moja fisadi papa akinyongwa hadharani sababu ya ufisadi huu upumbavu ungepungua kama sio kuisha kabisa
 
Kwa hiyo michango ya saccos ya polisi imepigwa? kwa hiyo hii nidhamu inayojengwa ndani ya jeshi ni pamoja na kuwafanya wasihoji hata kama michango yao imepigwa na wakubwa? bila CAG kuibua ndo ingekuwa party ya kimya kimya hiyo.....kwa mambo kama haya nchi hii inahitaji katiba mpya haraka sana ili kuweka mifumo imara ya kiutendaji na kuwajibishana.​
 
Bosi wake aliiba 1.5 trilioni hakuguswa
Aletwe humfrey polepole afanye upya hesabu ili siro asiwe ameiba
Yule afande amekimbia nazo SA, Magufuli naye amezikpeleka wapi?

Lakini pia, huyu Magufuli hayupo, kama pesa zipo mahali, kwa nini zisichukuliwe?

Lisipofanyika hili, maana yake ni kelele za kuchafua wasio wezi ili wezi wapate nafasi za kuiba zaidi

Nchi ngumu sana hii
 
😂😂😂 Nyie ndio mnaoamini Tanzania kuna vyama vya upinzani!

Itaga Seminary
Upinzani upo mioyoni mwa watu, na ni mapinduzi ya kifikra ndan ya watu!! Kwa akili yako unadhan siujui mfumo wa Nchi hii? Nikwambie tu ww hujui kitu ni unabeba vihabar vya hapa na pale.
 
Upinzani upo mioyoni mwa watu, na ni mapinduzi ya kifikra ndan ya watu!! Kwa akili yako unadhan siujui mfumo wa Nchi hii? Nikwambie tu ww hujui kitu ni unabeba vihabar vya hapa na pale.
Upinzani wa moyoni 😂😂😂😂😂😂
 
Anayepaswa kuwajibika ni anayewateua hawa na kuwahamisha hamisha wakishaharibu.

Haiwezekani nchi nzima iwe na viongozi wale wale miaka 20+ huku wakirudia makosa yale yale.

Tmekuwa Taifa la ajabu sana
Mkuu toa ushauri nini kifanyike. Niko tayari kwa maamuzi yako. Nimechoka kusoma habari za hawa Majizi.
 
Ndio maana polisi wakiambiwa wapige raia na kusimamia wizi wa kura wanatii, maana wanajua ukiingia uongozi mwingine Madudu yao yatakosa wa kuwalinda. Kwa sasa hawana hofu ya kuchukuliwa hatua, maana hata wao wamefanikisha serekali hii ya majizi ya kura kuingia madarakani bila ridhaa ya umma.
Siku Polisi wakijitenga na CCM ndiyo itakuwa mwisho wa Chama kile. Lakini pia ndio utakuwa mwisho wa wizi wa kipuuzi ndani ya Jeshi la Polisi. Uonevu ubambikiaji kesi kwa raia utakoma pia.
 
Mkuu
Una hoja nzuri sana tena ni hoja inayopelekea uwajibikaji kuwa haiba ya kudumu kwa kila nafasi ya uongozi.

Tatizo ni kwamba hapa Tanzania kuna kikundi kidogo cha watu kinamiliki funguo za mamlaka za nchi. Jeshi, Usalama, Mahakama, Bunge na Hazina. Kundi hilo halioni taabu kumuua Mtanzania yeyote anayetishia maslahi yao.

Maslahi yao sasa ndo hizo namba unazpzisoma kwenye ripoti ya CAG kila muhula.

Unaweza kutafuta hata kwa darubini kutafuta ni hatua gani ziliwahi kuchukuliwa dhidi ya wenye hati chafu za ukaguzi wa CAG. Imefika mahala aibu imekuwa kubwa wanarekebisha sheria za ukaguzi wa hesabu za serikali kufavor hati chafu kwa kuzipa madaraja.


Mkuu hapo zimwi letu ni CCM kwa ujumla wake na siyo mtu mmoja mmoja
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom