johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Kesho Chadema wanaanza Mikutano yao Kusini mwa Tanzania kwenye Ngome ya CUF na ACT Wazalendo.
Chadema wanaingia kwenye Mikutano wakiwa na Hati Safi kutoka kwa CAG tofauti na wenye Ngome yao ACT wazalendo waliotuhumiwa kukwepa Withholding tax TRA.
Kwa ile Chadema ya Dr Slaa tungepata mjadala mzuri kuhusu hawa mafisadi wa November lakini Chadema ya Mnyika vitambi vingi maslahi mbele.
Niko hapa Nanjilinji na kesho nitakuwepo Masoko kuwasikiliza ndugu zangu wa Ufipa St.
Siasa ni Sayansi, Siasa siyo Uadui!
Chadema wanaingia kwenye Mikutano wakiwa na Hati Safi kutoka kwa CAG tofauti na wenye Ngome yao ACT wazalendo waliotuhumiwa kukwepa Withholding tax TRA.
Kwa ile Chadema ya Dr Slaa tungepata mjadala mzuri kuhusu hawa mafisadi wa November lakini Chadema ya Mnyika vitambi vingi maslahi mbele.
Niko hapa Nanjilinji na kesho nitakuwepo Masoko kuwasikiliza ndugu zangu wa Ufipa St.
Siasa ni Sayansi, Siasa siyo Uadui!