CAF Champions League

CAF Champions League

Kona wanapata warabu....hatariii....dida anatuliza vizuri
 
mimi shabiki wa simba ila kwa jinsi waarabu wanavyofanyaga fitna naombea yanga ishinde tu...
 
Kama kawa kama dawa,leo lazima waarabu wakae,na hiki hapa ndicho kikosi kitakachoanza kuwaua waarabu leo,Niyonzima ni mgonjwa nadhani ata kwenye bench hatakuwepo.

Updates:HT-Al Ahly0-0Young Africans.

Line up:Yanga.
1.Deo Munishi
2.Twite Mbuyu
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub
5.Kelvin Yondani
6.Frank Domayo
7.Saimon Msuva
8.Mrisho Ngasa
9.Didier Kavumbagu
10.Emmanuel Okwi
11.Hamisi Kiiza

Tetesi:Yanga wakiitoa Ahly watapewa 400m kama zawadi.

Ngasa ameumia, naona Chuji anachukua mikoba dkk 67
 
Back
Top Bottom