CAF Champions League

CAF Champions League

Kudadadeki Kocha wa Al Ahly kitu kinagonga ...anaona muda unaenda ngoma bado 0-0
 
Ila hawa Waarab last week tungeliwafunga bao mbili tu, leo wasingekuwa na matumaini
 
Wale wa dstv, channel namba ngapi wanaonyeshha huu mpira?
 
Kucheza bila mashabiki ni advantage sana kwetu
 
Back
Top Bottom