CAF Champions League

CAF Champions League

mtangazaji anasema watz tuiombee Yanga,huyu vipi,uzalendo ni kwa stars tu!Al ahly piga mimba 7 hao yebo
 
Come on Wigan baneni dk 6 tu muwaondoe Man City Come on Yanga baneni dk 45 muwaondoe Waarabu wa Simba
 
Mpira wa kuchezwa bila washabiki mi kama umeschezwa mezani/ hauna ladha
 
mtangazaji anasema watz tuiombee Yanga,huyu vipi,uzalendo ni kwa stars tu!Al ahly piga mimba 7 hao yebo

Tatizo nyie mlioshangilia uwanjani mechi iliyopita leo hampo uwanjani kuwashangilia
 
Back
Top Bottom