Hii mechi itaanza saa ngapi? Afu mbona links mlizotoa hazionyeshi? Msaada
Ban linihusu ndala wakishinda hii game
JF tutakua live bila chenga.Kwa bongo kingamuzi gani kinaonyesha?
Kwa bongo kingamuzi gani kinaonyesha?
Ban la muda gani tumjuze kabisa invisible
NAomba link inayoonyesha, nilizonazo naona azionyeshi.
haha! We muache akamuulize yule wa siku ile sijui nani yulee!!
Hakuna wanaoonyesha watu wa Moro wanaangalia kupitia Abood TV
mkuu, kuna watu wanadai ni sawa tu, sbbu huwa anapoozesha mashambulizi, unalizungumziaje hilo?
NAomba link inayoonyesha, nilizonazo naona azionyeshi.
....Abood TV wako vizuri, wanawajari akina yahe.Hakuna wanaoonyesha watu wa Moro wanaangalia kupitia Abood TV
Hakuna wanaoonyesha watu wa Moro wanaangalia kupitia Abood TV
Ngoja tuone ni namna gani tutapata ushindi leo.Si kweli mkuu... Role yake ndio inamfanya awe anamiliki sana mpira akijaribu kutafuta vyumba vyenye madhara zaidi, ukuangalia mara nyingi pass zake ni zile za kupenyeza kwa wamaliziaji