ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,995
- 389
mkuu, kuna watu wanadai ni sawa tu, sbbu huwa anapoozesha mashambulizi, unalizungumziaje hilo?Kukosekana kwa Niyonzima ni pengo tayari pale kati...mechi ya kwanza aliwahenyesha sana Ahly...
mkuu, kuna watu wanadai ni sawa tu, sbbu huwa anapoozesha mashambulizi, unalizungumziaje hilo?Kukosekana kwa Niyonzima ni pengo tayari pale kati...mechi ya kwanza aliwahenyesha sana Ahly...
Usijidanganye mkuu....Saa nne usiku uwe hapa hapa
ahaaahaaa...baki hapa upate raha za YANGA, bado nusu saa tu!hahahaaaaa kumbe michepuko sio dili ngoja nibaki njia kuu tu sports
hahahaaaaaa mie macho yangu yatakuwa kwake tu
Kukosekana kwa Niyonzima ni pengo tayari pale kati...mechi ya kwanza aliwahenyesha sana Ahly...
Baambie baba baelezeeUsiwaogope ni vilaza tu.
Na mie kwa wife wake tuu.
ndivyo walivyosema?TBC wataonesha live mtanange huo, Yanga is about to suprise the world, mikia mnaloga mpaka mnapigwa fine
ahaaahaaa...baki hapa upate raha za YANGA, bado nusu saa tu!
Wanapatikana ktk king'amuzi gan?Naona Nile TV mwameshaanza pre-match commentary, vijana wanajifua pale uwanjani....tusubiri mtanange!:A S new:
Mkuu,Wanapatikana ktk king'amuzi gan?
pamoja sana!hapa sibanduki mpaka dakika ya 90
TBC wataonesha live mtanange huo, Yanga is about to suprise the world, mikia mnaloga mpaka mnapigwa fine
Utasubiri sana Munkari, wewe huu unaa umefanana na jina lako kabisa teh teh teh.mmmmmmh!! Suprise the world kwa kupigwa bao 2?hahaha!