Nitakuwepo mkuu hadi saa sita kabisa...ila mkuu,,,,endapo mtashinda...natangaza rasmi mimi na mke wangu tutatembea uchi wa mnyama kutoka posta hadi kimara kesho kuanzia saa tatu asubuhi
Sasa na wewe badala ya kuongea mpira unaongea historia...toa usimba wako hapa..tuache na yanga yetu na ndoto zetu..ebu na wewe kaote jinsi ya kumfunga prison na kuchukua VPL
Hujamuelewa vema mkuu.Amesema endapo yanga itashinda leo,but just remember that even we draw tutakua tumevuka daraja na ata tukifungwa 2-1,3-2,4-3 bado tutakua tumevuka.Kwahiyo usisumbuke nae sana maana atakua anaombea tupate sare ili asifanye alichoahidi.