hivi hii ni photoshop au ni kweli? kuna watu wanakula mbwa kiukweli hivi jamani??? uwiiiiiiii!
Hongera Asprin.....una expect??!!!
Ahsante, naomba ukaniitie na sakapal aje anigongee maLike hapa.
Mwambie akinigongea like kwenye hii yuziful post ntapata nafuu...., Likes zake ni dawa yangu mwambie kabisaaaaa...
kwi kwi kwi salute! Huo moshi au volkano karibu inatema! Imbombo ngafuuuuuuu!na hii nayo utasema ni fatashopu? Wifey mbona mgumu sana kwenye kuamini?
bonsafoooooo Zion Daughter!!Hongera Asprin.....una expect??!!!
bange kabla ya kula, ni mbaya mnoooo trust me! lol, mnanichekesha tumboni, mum wangu anazidi kuumwa uchungu, lol!Si unajua tena? Bange si nzuri mkuu. Hata ukiwa mtoto wa mchungaji haielewi somo