Afu nyie ndio nini kutongozana kwenye thread ya mimba ya uzazi?
...duh..huyu mwana wa A town..halafu memba humu...mtoto wa mchungaji,,
kwani mke mwenza tena anajivinjari na mtu infront of u??? khaaaaaaaa! ni utani tu, hubby dont worry!
mke mwenza, i told u mama alirudi umesikia?? thanx for ur concerning, she is recovering well, kidogo kidogo tu!
Hahahahahaha! Wifey bana.....Hajui kama Yummy ni sista duu... we mwache tu!
Nakumbuka pozi lako siku ya harusi yetu. Nlijua tu ndoa yetu haitadumu. Ngoja tuone KARIA atakuwezajeHahahaaa ndo unamtisha kijana wa watu aluuuuuu kumbe weye unawapenda masisteri eee
kwi kwi kwi kwi! umeniua mbavu jamani! my ribs khaaaaaaaa eti 'nkewe' hubby una vituko, lol!Huyo hawezi kuja kwakuwa hii makitu aliyozoea kupewa na n'kewe hayatakuwepo
hivi hii ni photoshop au ni kweli? kuna watu wanakula mbwa kiukweli hivi jamani??? uwiiiiiiii!Heheheh! Na si unajua mwanetu mtarajiwa anatokea pande za Kihesa? Baada ya Picnic ni full kujichana minyama....