Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Madabwada kwani ulikuwa hujui? habari ndo hiyo! ha haaaaaaaaaaFP ... noted!
"bye daddy!" @ babu
Madabwada kwani ulikuwa hujui? habari ndo hiyo! ha haaaaaaaaaaFP ... noted!
"bye daddy!" @ babu
Yan umenikumbusha bana,siku moja nilikuwa ndio shule zimefunguliwa ile asubuhi ndio nasindikizwa alafu mama alishastukiaga kuwa wakati wa kuagana lzm baba anifanyie mpango wakati wa kuhug ananipa na hela lol,
Siku hiyo mama alikomaa mpaka baba akashindwa kunipa ile hela,nilipopanda kwenye basi baba akaja dirishan akarekebisha alafu mama akaiona lol wakajikuta wote wanacheka sana!!
Hii mpaka kesho ikikumbushiwa pale nyumaba huwa tunacheka sana aisee,
Yani nampenda sana yule mzee aiseee!!!
hahahaha....hapa babu umeuza chai kidogo. Naona umeamua kutufurahisha!!!oaoa:lol::lol:Shem umenisisimuaje? manake dah!
Nakumbuka kipindi mama yao aliposafiri, nlikuwa nikitoka job nawahi kumchuka tunaenda sehemu tunapata menyu.... chipsi kuku/mayai zilimkomaje? Basi ikawa kila siku anauliza mama atarudi lini, nikifikiri amemmisi ile mbaya...... ilipofika wakati sasa kuwa mama anarudi kesho nikasikia :"Ayaaa, si akaekae tena kidogo?" lol
Nipo swaiba,canty, hv ww upo?? kimya sana, mzima??
...ohooo,
Dada'ngu, it's to early kuleta nyimbo mbaya bana, I can't imagine ka princess kangu kana fall in love kiasi cha kuacha kunisikiliza aisee, eti Aspirin unaonaje? tayari ushaanza fikiria mume atayekuwa anamlamba makofi binti yako?
Huyu ADI anataka kuturusha roho mheshimiwa moskwito, sijawahi kumlamba binti yangu makofi sasa kufikiria kuna mtu atanilambia binti yangu makofi.... sipati picha nikikutana naye. Siku zote kamekuwa kananisikiliza na kuiniona mie Mungu-Mtu wake afu ghafla bin vuu kanakupotezea kwakuwa tu kamepata mwanaume mwingine kanakomsikiliza zaidi.... Tena kanamsikiliza hata kama kanachapwa makofi kila uchao.... Mungu apitishe mbali!...ohooo,
Dada'ngu, it's to early kuleta nyimbo mbaya bana, I can't imagine ka princess kangu kana fall in love kiasi cha kuacha kunisikiliza aisee, eti Aspirin unaonaje? tayari ushaanza fikiria mume atayekuwa anamlamba makofi binti yako?
Madabwada kwani ulikuwa hujui? habari ndo hiyo! ha haaaaaaaaaa
Nipo swaiba,
Za masiku aiseee!
Heri ya mwaka mpya Madabwada!!!
Hahahahhahah!aisee binti ya dadie, nipo bana.
heri ya mwaka mpya nawe!
Vigezo na mashjarti kuzingatiwa......hongera sana we mzee!..
..sasa hapo juu naungana na mj1 na deeiiina amseeeiii kwenye kuhoji hilo swala la "...mama matesha atakukomaje...?"...nasema iiviiii...."...teeeeiiiinaaaaaaaaaaa..!haloooooooooooo...ooooooooh"
atakukomaaajeeeeeeee?!
tasker malt zitakumisiiiiiijeeeeeee?!
mabaameed watakuliliaaaajeeeee?!
wahudum wa gest watakukumbukaaje?!
mary munisi wa mapinga atakuliliaaajeee,!?
tongori lodge watanunaaaajeeee?!
heheheheheeeeeeeeiiiiiiyaaaaaaa!
Mkuu kwani ulikuwa unaniwazia the other way round? mbona post zangu nyingi zinajieleza? hakuna cha kufichahahahaaaaa ... mkuu nimechungulia hapo ikabidi nikae kimya tu ... hizi thread za babu hizi huwa hazichelewi kuwatoa nyoka pangoni!
hahahaaaa ... i love u with passion!
pal, kiukweli babu anajua "kulea" ... he is a gud daddy!
ameonyesha njia na mfano mzuri kwa wajukuu, nampa kudos for that!
Hahahahhahah!
Asante bana,
Na kweli bana mie mtoto wa dingi tu hata mamangu analijua hilo aisee!
Vp kwako haijakutoea ukamzimikia binti ako?
Nimekuona mahali nikaamua kukupa hi,Miss you big time Dearest.....
Madabwada you know it is not good to make an old gal blushing....:A S embarassed:
Na please usimsifie saana babu, atatusumbua home.