Madabwada
JF-Expert Member
- May 8, 2009
- 541
- 314
Khaaaaaa!
Mbona hii theory siifahamu!!!!
Ayaaaaa,kwisha habari yangu lol!
Itabidi nijiandee tu km hiyo formula ni valid lol!
validity yake iko justified according to wadau wenyewe.
Khaaaaaa!
Mbona hii theory siifahamu!!!!
Ayaaaaa,kwisha habari yangu lol!
Itabidi nijiandee tu km hiyo formula ni valid lol!
Basi itakuwa ni valid kistori sidhan km inaukweli wowote bana!!validity yake iko justified according to wadau wenyewe.
Bye Ndovu.....dah!
You will melt! najua sana you can't resist that Mmmmmwaaaaah na ndio maana anaendelea kuitumia. lolUmenikumbusha mwanangu Ngina......................huyu mwanangu mwingine Cantalisia tangu aanze kujitegemea amebadilika sana siku hizi, we ngoja akose kodi ya nyumba, atakuja mnyenyekevu, utamsikia, "Hi! Daddy, I miss you, mmmmwaaaah" Nyooo! hupati kitu mwaka huu, mwana ukome.................LOL
aseeeeeeee!....
apo juu gy na bigirita nimewamisiiiiijeeeeeeeee?!...
aseeee!njoeni basi jayjay asee!..hizo pombe tutakazokunywa zitatukomaaaaaajeeeee?!...aseeeh
Nilidhani unawahi home kuona bibi atakukomajeeeeee! unaanza kusepa day one?Wajameni... Huu ndo muda wa kabinti "kudeka" nihakiki homework aliyofanya kabla sijaenda kupiga mitungi.... Sasa dah, ngoja nikagide masanga nianze kuzoea mie. Mkimwona bibi mwambieni the way nlivozawadiwa "bye dady" nami namzawadia "am sorry"
Umenikumbusha mwanangu Ngina......................huyu mwanangu mwingine Cantalisia tangu aanze kujitegemea amebadilika sana siku hizi, we ngoja akose kodi ya nyumba, atakuja mnyenyekevu, utamsikia, "Hi! Daddy, I miss you, mmmmwaaaah" Nyooo! hupati kitu mwaka huu, mwana ukome.................LOL
Oh.... RIP hommie's father in law. Inauma sana tunapopoteza wapendwa wetu lakini siku zote kazi za Mungu hazina makosa!Nimefurahi kwa salamu dear.... Seriously speaking hata mimi nimemkumbuka marehemu baba yangu.... Alikua ananipenda mno!
Babu mbona unanichunia kama hujaniona leo? tuna ugomvi?
Basi ndio maana... haya, akija tu nistue, mi narudi jikoni.
Umeona BAbu anavyo kataa kunijibu? sijui nimemfanya nini mie.
Mbona babu yetu mtundu sana? hivi haoni myaka yake? lol
Haya Babu yangu, chapa kazi, tuta chit chat baadae. :hug:
fanya mambo bana ndo wakati wake huuSoulmate.... Hili laweza kuwa neno ujue..... Bye daddy! Dah!
Hehehehe! Umri haupimwi kwa mizani!:juggle: