bcsolution
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 394
- 177
- Thread starter
- #41
Kumbe kushusha gharama ile mwanzo walipoanza na maofa tele ilikuwa kuwavutia watu ili wajazane kisha wamalize kama ule mtego wa tenga unaweka na chupa ya soda shingoni unaifunga kamba ndani unamwagia mtama njiwa wakishaingia unavuta kamba tenga linashuka, mateka kibao.
Kweli biashara mbinu
Ila wamesahau tenga lao bovu...tumetoka tehe tehe tehe