Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,608
- 4,265
Huo ni unyanyasaji dhidi ya watoto! Kwa nini amdanganye mtoto kuwa anamwoa halafu asitokee? Inatakiwa huyo jamaa atafutwe, akamatwe na afunguliwe mashtaka kwa makosa ya:
1. Kumdanganya mtoto
2. Kumsababishia maumivu ya kisaikolojia mtoto mdogo
3.Kumsababishia maumivu ya kisaikolojia mtoto mdogo kwa kumdanganya kuwa atamwoa
4.Kumsababishia maumivu ya kisaikolojia mtoto mdogo kwa kumdanganya kuwa atamwoa na akashindwa kufanya hivyo
5.Kumsababishia maumivu ya kisaikolojia mtoto mdogo kwa kumdanganya kuwa atamwoa na akashindwa kufanya hivyo huku akijua kuwa anatenda kosa
6. Kuitelekeza ndoa yake tarajiwa!
7.............................................................................................................................
(jamani natania, ila huwa nasikia na kuona makosa yakiunganishwa namna hiyo hiyo hadi yanafika 15 wakati ungedhani ni mawili tu!)
1. Kumdanganya mtoto
2. Kumsababishia maumivu ya kisaikolojia mtoto mdogo
3.Kumsababishia maumivu ya kisaikolojia mtoto mdogo kwa kumdanganya kuwa atamwoa
4.Kumsababishia maumivu ya kisaikolojia mtoto mdogo kwa kumdanganya kuwa atamwoa na akashindwa kufanya hivyo
5.Kumsababishia maumivu ya kisaikolojia mtoto mdogo kwa kumdanganya kuwa atamwoa na akashindwa kufanya hivyo huku akijua kuwa anatenda kosa
6. Kuitelekeza ndoa yake tarajiwa!
7.............................................................................................................................
(jamani natania, ila huwa nasikia na kuona makosa yakiunganishwa namna hiyo hiyo hadi yanafika 15 wakati ungedhani ni mawili tu!)