karibia unapatia, endelea kidogo, maana unajimu uchwara huanza kama wako, ili reaction ya kidume iwe kukataa, sikatai wala sikubali, na mbaya zaidi sidanganyiki
cheki thread (sijui nimepatia) za juu utaona nimetumwa na nani, ila kilichonileta ni kama kilichokuleta
Mkuu taratibu,we unajua kilichonileta mimi hapa Jf? chonde chonde.
Mpwa ahsante kwa unajimu wako. Vipi nijaribu kurusha risasi nitesti zari?
kama kawaida mlie taimingi huyu!, mbona unaweza kubeba mzigo. ila angalia ZD asijestukia, SIKUDANGANYI ila NAKUSHAWISHI tu binamu.
Mimi hakuna Bwana aliyenituma, kwanza mimi ni Bwana halafu niwe na Bwana, inaingia akilini kweli?bwana wa mitandao, mijadala, ukunaji kichwa, na uchambuzi
bwana yuleyule aliyewatuma nyinyi kuja humu
Msamehe binamu. Wanawake mnapaswa kupendana.
Binamu naona huyu anakuja kivingine kabisa,simwelewi kabisa,binamu umejuaje kama ni mwanamke?
GP,napata wasiwasi mwenzio!
Mtawatambua kwa manemo na matendo yaho!
mtawatambua kwa manemo na matendo yaho!
Nilikuwa sijui kama wote humu ndani ni kapoz...Nahitaji mwongozo, tulio singo tutoke au........?hebu muelezee dia,hajui wote ni kapo humu ndani.occupied wote