ZD kama Chrispin anakuzingua niPM tu hamna shaka mie kijana mtanashati nimetulia, macho hayageukigeuki kama ya papa, nina maadili sijawahi kudanganya mwanamke, utafurahia maisha siku zako zote. Hakika hutajiuliza siku zote ulikuwa wapi hujanipata. Njoo ZD achana na mikagasiko ya moyo njoo penye pumziko lako la kweliurushe risasi gani? si unajua uchumba huwa unavunjika lakini? mara ya 99 hii.......
Nitamruhusu Sipo anitafute? ohhh?
Karibu,lakini huyu bwana gani aliyekutuma?
Hahahaaaa!! huu ni uchambuzi yakinifu au Upembuzi sahihi?............Like that!!naomba nichukue fursa hii kusaidia kutoa majibu:
lakini pia niombe radhi maana nna mashaka ikiwa huyu jamaa yetu ana bwana mmoja au wengi?
uwazi, ukweli......huyu ni bwana yule ambaye kwa mujibu wa katuni ya GADO, if mwalimu were to return today, alikuwa wa kwanza kula viboko.
spidi na viwango......huyu ni bwana ambaye hivi karibuni alisikika kule mjengoni akidai kama watu wanadhani waheshimiwa wanafaidi na posho 2*2au 2-2 au 2+2 au 2&2...nao waende majimboni wakagombee.
na mwisho swali kwa mgeni....vipi bwana wa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya hajambo?
is semenya a he/she?
naomba nichukue fursa hii kusaidia kutoa majibu:
lakini pia niombe radhi maana nna mashaka ikiwa huyu jamaa yetu ana bwana mmoja au wengi?
uwazi, ukweli......huyu ni bwana yule ambaye kwa mujibu wa katuni ya GADO, if mwalimu were to return today, alikuwa wa kwanza kula viboko.
spidi na viwango......huyu ni bwana ambaye hivi karibuni alisikika kule mjengoni akidai kama watu wanadhani waheshimiwa wanafaidi na posho 2*2au 2-2 au 2+2 au 2&2...nao waende majimboni wakagombee.
na mwisho swali kwa mgeni....vipi bwana wa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya hajambo?
Tar'tib yakhe, wengine kule Lamu ukisema bwana kakutuma ina maana tata.
Na wengine sie mabwana, hatuna mabwana, sasa ukisema bwana aliyetutuma sisi ni kama unatutukana.
No comment....sina hakika imeandikwa nabii Musa alikuwa na kichaa!
Asente, ukaribisho huu usiotaka jua jinsia wala kilichonileta ndo ukaribisho wa kweli
Nilikuwa sijui kama wote humu ndani ni kapoz...Nahitaji mwongozo, tulio singo tutoke au........?