Bwana amenituma kuja humu!

Mwende wapi na humu kuna uzima, tena uzima wa kutosha
icon10.gif

amen ubarikiwe
 
Kuna kauwezekano alikuwa namatatizo ya akili, hasa yale yanayo ambatana na kifafa (epilespsy). Soma kuhusu Simple Partial Seizures. Mtu anayepata hiyo anakuwa na "visions", na kama ni mtu mwenye uwezo mzuri wa kushawishi watu, basi ndio kama vile. Na kuna dini kadhaa za hivi karibuni zimeanzishwa na watu wanaojulikana kuwa na matatizo hayo (he Seventh Day Adventist, Buddha, etc).

Soma hii:
http://www.bbc.co.uk/science/horizon/2003/godonbrain.shtml

Pia watu wenye kichaa wana delusions (kuamini vitu ambavyo havipo), na illusions (ku-perceive vitu tofauti na vile vitu halisia vilivyopo kwenye mazingira yao).

Ndio maana si kila anayetokewa na Bikira Maria anafanywa kuwa mtakatifu kwa sababu wengine ndio hivyo wana matatizo ya akili. Sasa sijui nani anauhakika kwamba hao wengine waliobaki hawana matatizo ya akili.

mkubwa hapa nina wasiwasi kidogo, maana isije kuwa wote wenye imani hasa inayohusiana na uwepo wa mungu wana kichaa

Ebana hii sayansi ya akili inataka ujuzi ambao kwa bahati mbaya mimi sina, maana hata hizo refference ulizotoa siwezi kuzi-verify kama zimeandikwa na watu wenye matatizo ya akili au laa!

Lakini matatizo hasa ya akili ni yapi, ni kuwa active kifikra kuliko wengine, kuwa slow kifikra kuliko wengine, ni kuona visivyoonekana, kusikia visivyosikika, kudhani visivyodhanika, kuwa/kutokuwa na vision

lakini pia hili la kuamini visivyokuwepo, nipe mfano kidogo

Mjadala uendeleee
 
Back
Top Bottom