Bwana amenituma kuja humu!

karibu karibu jamvini mgeni, habari za utokako, tukupokee kifurushi?? bwana alokutuma hajambo, utapendelea kinywaji gani, ugali au wali, chips au magimbi? eh jamani pole na safari tumefurahi kukuona ..
 
bwana wa mitandao, mijadala, ukunaji kichwa, na uchambuzi

bwana yuleyule aliyewatuma nyinyi kuja humu
Huyo bwana wa mitandao unamjua wewe, binafsi siyo yeye aliyenituma kuja uku ndugu. Mimi nimekuja kwa akili yangu unless uniambie akili yangu ndio bwana wangu. Ila huyo bwana wako kiboko amekutuma kuja JF na siyo kwingine, uku kuna mambo lakini. Karibu gY tunakupenda best
 
Huyo bwana wa mitandao unamjua wewe, binafsi siyo yeye aliyenituma kuja uku ndugu. Mimi nimekuja kwa akili yangu unless uniambie akili yangu ndio bwana wangu. Ila huyo bwana wako kiboko amekutuma kuja JF na siyo kwingine, uku kuna mambo lakini. Karibu gY tunakupenda best

naam wewe umenena vema, bwana wako katika mambo kama haya ya kilimwengu, ni akili yako

asante nishakaribia na punde huenda nikapata mwandani maana kufika tu nimeanza kuulizwa jinsia
 
karibu karibu jamvini mgeni, habari za utokako, tukupokee kifurushi?? bwana alokutuma hajambo, utapendelea kinywaji gani, ugali au wali, chips au magimbi? eh jamani pole na safari tumefurahi kukuona ..

asente, bwana hajambo, vipi wakwako pia hajambo?

ukinipa kaugimbi ntafurahiiii!
 
hebu muelezee dia,hajui wote ni kapo humu ndani.occupied wote
Eeeh!!Kumbe, mimi sikujua jamani
Eti ZD couple wako ni nani? Kumbe mie siku zote nakuvizia kuna mtu anajimegea kimkakati! Nijuze nihamishe majeshi dada
 
Karibu sana jamvini,ila huyo bwana aliyekutuma tuna wasi wasi nae sana,hata sielewi alikutuma kuja hapa jf kufanya nini?can u tell me hasa umetumwa kufanya nini hapa?
 
Eeeh!!Kumbe, mimi sikujua jamani
Eti ZD couple wako ni nani? Kumbe mie siku zote nakuvizia kuna mtu anajimegea kimkakati! Nijuze nihamishe majeshi dada

Here comes ZD's lover and custodian. Her Commender In Chief!
 
Karibu sana jamvini,ila huyo bwana aliyekutuma tuna wasi wasi nae sana,hata sielewi alikutuma kuja hapa jf kufanya nini?can u tell me hasa umetumwa kufanya nini hapa?

cheki thread (sijui nimepatia) za juu utaona nimetumwa na nani, ila kilichonileta ni kama kilichokuleta
 
Here comes ZD's lover and custodian. Her Commender In Chief!

U see, tunaelekea pazuri

invizibo usinipe tena mwongozo nitaupata humuhumu kidizaini

kumbe humu ni raha, utamu, raha tena, utamu!
 
Eeeh!!Kumbe, mimi sikujua jamani
Eti ZD couple wako ni nani? Kumbe mie siku zote nakuvizia kuna mtu anajimegea kimkakati! Nijuze nihamishe majeshi dada

Wanaovizia huwa hawasemi,wewe una lako jambo,mie ninae mchumba tayari-Xpin kwa jina.Nadhani unampata vilivo.
 
urushe risasi gani? si unajua uchumba huwa unavunjika lakini? mara ya 99 hii.......
Nitamruhusu Sipo anitafute? ohhh?

Risasi za moto mchumba. Niulie mtu mbali! Hahaha! Hiyo red hiyo! Nachukua sick sheet nawahi THI.
 
Back
Top Bottom