124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,494
If it rings true,but would you rather have an armed thug as a friend because he helps you with what he robs others? this is rhetorical one don't answer as we all know the outcome!
Nimesikia kwamba mradi wa maji kutoka Ziwa Viktoria kwenda Shinyanga mpaka Kahama ni moja kati ya Miradi aliyoisimamia yeye Bw. Lowasa sina uhakika na hilo lakini kama lina ukweli wowote basi ni bonge la Plus kwake kwani nimefika huko na kuona jinsi ule mradi ulivyowakomboa watu wa kule!