Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Ila atapita,kasikazini wengi hawatapiga kura.goodluck alitumia akili sana kuwaacha boko haramu wafanye watakavyo kule kaskazini.Alionekana ku panic sana...mwenzie Buhari bvr imemkubali bila vikwazo.hahaaaaa