Butiku: Rais tembo hatufai

Butiku: Rais tembo hatufai

hahahaa.....kuna stori moja ya tembo,kwamba ikitokea sisimizi au siafu akaingia kwenye mkonga wake,basi ataupiga piga mkonga kwenye miti,na anaweza hata kujiua kwa kujipiga hivyo
Teh teh teh nimecheka sana mpaka mwanangu kanishangaa anauliza baba kuna nini.
 
Teh tehe! wazee wa ccm wamevurugwa, hawaelewi wanapelekwa wapi, nchi ipo ipo tu chini ya ilani ya mtu mmoja.
 
Halafu haya mashambulizi yamekuwa na speed kali sana na katika kipindi cha muda mfupi tu. Wameshamjaribu asiyetaka kujaribiwa sasa tusubiri tuone reaction yake au anaweza kuuchuna tu kama katia pamba masikioni.
Mkuu hapo tembo kachuchuma maanake kaufyata. Kapewa za uso vijana wa lumumba wamebakia na matusi kama bendera fata upepo.
 
Kukutana na kufanya vikao na wazee ni muhimu.
Hata ile hotuba ya mwisho ni muhimu pia,kwani inaweza kuwa ni fursa ya kutoa mwelekeo na mitazamo kutokana na kazi na majukumu yaliyojiri.
Na baada ya hotuba,wananchi na wadau mbalimbali watatoa maoni yao.
SHIDA NINAYOIONA NI KUTOSOMA HOTUBA ILIYOANDIKWA NA MTU MWINGINE(ambaye ameajiriwa kwa ajili ya jukumu hilo)
Nakumbuka ikulu ipo studio kwa ajili ya kutangazia umma,labda kwa vile haitumiki itapelekwa ikulu ya chamwino,Dodoma!
 
Maneno ya mangula mmeyaandika kwa herufi ndogo Na ndo yenye maana..halafu TANZANIA daima kumbe..ngoja niendelee
 
bhutikhu pindi akiwa mkuu wa mkoa wa kanda maalum alikuwa anaongozaje?,
Je alikuwa anatenda haki kwa kabila zote za huo mkoa,au pia alikuwa ni tembo kwa baadhi ya makabila?.
Au ndo kusema kunya anye kuku akinya bata kaharisha??????????????.
PI AONGELEE KUHUSU HILI.
Yaelekea hilo neno limekuudhi sana, unataka namba yake ya simu umuulize akwambie; sio kulialia huku jamvini wakati Mzee mwenyewe yupo, wacha hizo!!!
 
Nmekumbuka kijijini kwetu rombo... Tembo ni waharibifu sana,wanavamia nakula mahindi,viaz,wanabomoa majumba yawatu na kufukuza watu hovyo. Wametuonea sana kwakweli dah!
Kama kunamtu anakuwa Kama tembo basi tujihadhari kwakweli
 
CCM woote siwaamini. Haya majitu manafiki kweli. Warioba, Butiku na wenzao walituaminisha kupitia mchakato wa katiba mpya uliovurugwa na chama chao.

Kipindi cha uchaguzi wote walirudi na kukipigia kampeni chama chao. Zanzibar uchaguzi umevurugwa huku wakiangalia.

Upumbawavu sitaki mie
maneno yako yana ukweli mtupu,huyo Warioba mwanae aliahidiwa jimbo la kawe akakwaa kisiki cha Halima Mdee kipindi cha uchaguzi walikuwa kimyaa huku wakikisapoti chama chao pendwa pamoja na yule palepale wa ubungo unafiki tu.
 
maneno yako yana ukweli mtupu,huyo Warioba mwanae aliahidiwa jimbo la kawe akakwaa kisiki cha Halima Mdee kipindi cha uchaguzi walikuwa kimyaa huku wakikisapoti chama chao pendwa pamoja na yule palepale wa ubungo unafiki tu.
Majitu majinga kweli siwaamini kabisa
 
Huyo pia kaguswa, butiku alikuwa mkuu wa mkoa wa mara, yeye alifanya nini? Wakae kimya sindano ziwaingie
watu washamchoka juma,huo ndo ukweli,mtu kaacha kutumia gari mwaka 75 leo miaka 40 mbele unamwambia alipe road licence,
faini zimekuwa ndo njia za kuipatia nchi mapato,faini za manyanyaso,
watu washachoka,mtabaki nyie watoto wa makatibu wa chama mnatetea haya mambo,lakini ukweli uko palepale ,people are tired with this bulsht already
 
-->>BUTIKU THE MAN TO IGNORE! BY 100%,.
HAWA NDIYO WALIOMWANGUSHA MWALIMU.
RAIS WETU SONGA MBELE/ ......!
 
Back
Top Bottom