Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Lazima atajibu tu ngoja nisubiri muda si mrefu.
Weka ya uhuru ma mzalendoKwa hiyo unaamini Rais Magufuli ni tembo?
Unasoma heading ya gazeti la CHADEMA halafu unakuja mbio Jamiiforums kuweka thread.
Hivi akili zenu mmemkabidhi nani?
CCM woote siwaamini. Haya majitu manafiki kweli. Warioba, Butiku na wenzao walituaminisha kupitia mchakato wa katiba mpya uliovurugwa na chama chao.baada. ya raisi mwinyi kutoa ya moyoni sasa ni zamu ya Butiku.
"RAISI ASIWE KAMA TEMBO"..
raisi ajali utu wa MTU.
soma zaidi gazeti LA Mtanzania
Mbona yupo ccm,wewe huoni alivyozuia mawazo mbadala yasitoke kwa faida ya ccm? Mawazo mbadala ni muhimu kwa ujenzi wa nchi yetu ila ni mwiba kwa ccm kwa kuwa wanaccm wengi ni incompetentJpm ana matatizo makuu mawili yanayomwelemea na anashindwa kuwa wazi kuonyesha ana mlengo gani na matokeo yake ndio hayo majina yanachipua kama uyoga, inabidi aamue kuwa upande wa chama tu au upande wa Taifa kwanza chama baadae ....afande Sele kasema....." baridi au moto na sio vuguvugu "
ila yeye hakuongoza mkoa kama tembo hapo ndio tofauti yaoHuyo pia kaguswa, butiku alikuwa mkuu wa mkoa wa mara, yeye alifanya nini? Wakae kimya sindano ziwaingie
Watetezi wake watakuja kama mkizi kukushambulia,watakwambia kanunua ndege na kuokoa pesa za mwenge.Hawatakwambia ndege zina faida gani na pesa zilizookolewa zitafanya kazi gani.Kukurupuka na mwendokasi ndiyo zake hizo sasa anaisambaratisha nchi. Sitaki mtu anicheleweshe, msinijaribu. Usijaribiwe wewe Mungu!? Mungu pekee ndiye hajaribiwi. Haya akina Warioba, Mwinyi na Butiku wameshakujaribu kurupuka dhidi yao basi tukuone.
Niambie kazi ya mkuu wa mkoa.Huyo pia kaguswa, butiku alikuwa mkuu wa mkoa wa mara, yeye alifanya nini? Wakae kimya sindano ziwaingie
au ssmm na tume ya kuchaguana walituingiza chaka wakaweka tembo badala ya mtu?Rais Tembo tena??
CCM walituingiza chaka kutuletea tembo kugombea uraisiau ssmm na tume ya kuchaguana walituingiza chaka wakaweka tembo badala ya mtu?