coracoid fossa
Member
- Aug 22, 2016
- 55
- 43
Ni ngumu sana kumtete huyu mtu sasa hivi, hivi unaanzia wap? Msd hakuna madawa, ajira vijana hawana, mtaani maisha magumu, vyakula kila kitu kiko juu, telll huyu mtu kasaidia ninh? Everything is worse? Kagera kashidwa wasaidia, anatangaza kila siku kapokea michango, rai kule bado wanalala nje, ata kukanyaga kule kaonwa nongwa, hivi una mtetea vip huyu mtu? Ndege?!! Nini ndege, we need improvement of life ya watanzania that should the first consideration. Nani asie raumu hii leo?