Usiogope wana ccm ndio wamemuita Tembo mwenyekiti sisi washangiliaji tuteh teh teh....
Kumbe!!.....
Mi simo
weee mjukuu wa tembo?bhutikhu pindi akiwa mkuu wa mkoa wa kanda maalum alikuwa anaongozaje?,
Je alikuwa anatenda haki kwa kabila zote za huo mkoa,au pia alikuwa ni tembo kwa baadhi ya makabila?.
Au ndo kusema kunya anye kuku akinya bata kaharisha??????????????.
PI AONGELEE KUHUSU HILI.
hahahaaa......na kuchambia vikombe vya kunyweaWazee wameamua kumwaga Pombe
tunaongelea ya wakati huu, usiturudishe nyuma hatutaki viongozi tembo na vifaru bila hekima hakuna uongozibhutikhu pindi akiwa mkuu wa mkoa wa kanda maalum alikuwa anaongozaje?,
Je alikuwa anatenda haki kwa kabila zote za huo mkoa,au pia alikuwa ni tembo kwa baadhi ya makabila?.
Au ndo kusema kunya anye kuku akinya bata kaharisha??????????????.
PI AONGELEE KUHUSU HILI.
Lakin hata gazeti la uhuru nalo huwa mbio zinakuja huku kwa hivyo tukae kimya tu kushuhudia mpambano.Kwa hiyo unaamini Rais Magufuli ni tembo?
Unasoma heading ya gazeti la CHADEMA halafu unakuja mbio Jamiiforums kuweka thread.
Hivi akili zenu mmemkabidhi nani?
Ngoja tusubiri Tembo ataaanza kumtumbua Butiku kwa kusema hovyoLakin hata gazeti la uhuru nalo huwa mbio zinakuja huku kwa hivyo tukae kimya tu kushuhudia mpambano.
Kutolewa pembe.Hivi sifa za Tembo ni nini?
katibu mkuu akimuachia chama,basi,ccm mazishi yake saa nane,katibu mkuu ndiye pekee ndani ya ccm.anayeweza kumkoromea,wengine wameufyata kulinda ugaliHalafu haya mashambulizi yamekuwa na speed kali sana na katika kipindi cha muda mfupi tu. Wameshamjaribu asiyetaka kujaribiwa sasa tusubiri tuone reaction yake au anaweza kuuchuna tu kama katia pamba masikioni.
Nguvu nyingiii wazeee wa ccm wanamchana maraika mkuuuuMwili mkubwa akili kisoda![]()