BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Sina ukinyonga kuhusu Lowassa, lowassa ni fisadi siku zote na hakuna popote pale nilipoandika tofauti. Mzalendo hawezi kuunyamazia upuuzi ndani ya Serikali hii ambao umezungumziwa na Mwinyi, Butiku na Warioba. Anayefumbia macho upuuzi unaoendelea ndani ya Serikali hii ya dikteta uchwara hastahili kuitwa mzalendo.
Sio lazima utamke hayo aliyotamka butiku ndio uonekane Mzalendo! Kila mtu ana namna yake ya kufikisha ujumbe pale anapoona inastahili! By the way! Hata Lowasa naye alisubiri awe mzee ndio akahamia chadema, tena baada ya kunyimwa fursa ya kugombea urais? So sio lazima kila kinachotamkwa kiwe kweli kwa aslimia zote! Mwenyewe pia kauli zako humu ni kama kinyonga! At least msimamo wangu haukuwahi kubadilika over the years huo ndio uanaume!