Siyo aliwekwa ndani. Alishtakiwa huyo yeye na marehemu mdogo wake akiitwa John ambaye alikuwa Trade Unionist. Hao wawili kwa sababu wana ujamaa na Oscar Kambona, Kambona recruited them. Huyu alipokamatwa alikuwa Captain Dan Lifa Chipaka. Kwa hiyo alishtakiwa na kesi ikasikilizwa na akafungwa kama sikosei. Walimtuhumu Nyerere na walikuwa wakimwita "Mchonga meno". Wakati wa kesi he was quite outspoken. Walitaka kumpindua Nyerere kwa sababu nchi wakati huo ilikuwa chini ya utawala wa udikteta wa chama kimoja.Mahakama iliwapata na makosa na akafungwa. Kwa hiyo anamposema Butiku inaeleweka kuwa kapata sababu ya kumcharaza. Kwani Butiku 2005 si alikuwa anamuunga mkono Salim. Sasa na yeye kapata sababu ya kumcharaza JK. Hiyo ndiyo si hasa (Siasa).