Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

Kidini vile binadamu ameumbwa kutoka Adam na Hawa bustani ya Eden ipo kusikojulikana.na watu wasiojulikana ndo wanajua ilipo. Scientifically hakuna bustani ya Eden maana tulikuwa nyani tunakaa maporini.Uzuri sayansi ina fanya proofs lakini dini ni kuamini tu hivo kila mtu akili kichwani mwake ukijaribu kuangalia nyoka ana miguu mingapi siku ukigundua ana elfu unaweza kufa nenda kanisani au msikitini kasali acha ufukunyungu
 
Kidini vile binadamu ameumbwa kutoka Adam na Hawa bustani ya Eden ipo kusikojulikana.na watu wasiojulikana ndo wanajua ilipo. Scientifically hakuna bustani ya Eden maana tulikuwa nyani tunakaa maporini.Uzuri sayansi ina fanya proofs lakini dini ni kuamini tu hivo kila mtu akili kichwani mwake ukijaribu kuangalia nyoka ana miguu mingapi siku ukigundua ana elfu unaweza kufa nenda kanisani au msikitini kasali acha ufukunyungu
Mkuu,kwahiyo bustani ipo kusikojulikana?
 
Bustani hii huenda ilikuwepo kwenye moja kati ya nchi hizi.
ETHIOPIA
IRAQ
UTURUKI
KUWAIT
Kwa mujibu wa majarida mbalimbali wakihusisha MITO(rivers)yaliyotajwa wakati huo na mpaka Leo kati ya MITO hiyo 4 umebaki moja EUPHRATES.
 
Bustani hii huenda ilikuwepo kwenye moja kati ya nchi hizi.
ETHIOPIA
IRAQ
UTURUKI
KUWAIT
Kwa mujibu wa majarida mbalimbali wakihusisha MITO(rivers)yaliyotajwa wakati huo na mpaka Leo kati ya MITO hiyo 4 umebaki moja EUPHRATES.
ahsante mkuu
 
JamiiForums imeanza kuboa nowdays
Hapana Jf bado iko sawa na itaendelea kuwa sawa, shida ni kwamba vyuma vimekaza sana, wengine hawajui hata nini wanacomment. We ushaona mtu anaenda kwa gari yake kisha anagonga hodi kwa mlango? hapo wala hajakunywa mvinyo.
 
Ipo tz cz ndipo lilopogundulika fuvu la binadamu wa kwanza
 
Bustan ya Eden ilikuwa Iraq, wakristu wezangu povu lisiwatoke! huuu ndiyo ukweli!
 
Hata tunda lenyewe waliloambiwa wasile halijulikani japo tunafahamu kuwa waligegeduana na bila shaka hyo bustan walyokatazwa itakuwa mautam tu maana ndo iliyoko ktkt ya mwili kuanzia miguuni na kutoka kichwan kutelemka japo ukisema hvyo wanakuona kama hujui neno ila ukweli neno la mungu kila mtu analifafanua awezavyo kwakuwa sote ni wanadamu tu na kwann walitumia mafumbo sana wakati wengi hawajui kuyafumbua ila unaelewa kama uwezavyo na kwa mungu syo dhambi:

Naomba kuwasilisha..
 
Back
Top Bottom