Bustani hii ipo tanzania mkoa wa arusha pale katikati ya mlima kilimanjaro kwenye ile barafu ambayo wengi hawafikagiIpo nchi ya Africa.




Tulinyewa tu mwanangukwahiyo ni changa la macho?
Kweli kabisa, naona wadau hawapo seriously..! Wanacomment upuuzi tu, watu kama hawana uhakika wa jibu la swali waliloulizwa sio lazima wajibu.JamiiForums imeanza kuboa nowdays
Zaidi ya hapo kuna watu ukikoment kitu ambacho hawakipendi, wana kunukuu halafu wanakuporomoshea matusi mazito utafikiri ulikuwa na ugomvi nao.Kweli kabisa, naona wadau hawapo seriously..! Wanacomment upuuzi tu, watu kama hawana uhakika wa jibu la swali waliloulizwa sio lazima wajibu.
IraqHaijulikani ilipo hiyo bustani
Walinzi na uwepo wa bustani kuna uhusiano gani....???MKUU HYO BUSTANI HAKUNA ANAYEJUA ILIPO, MUNGU ALIPOWAFUKUZA ADAM NA HAWA, ALIWEKA WALINZI KILA PANDE YA BUSTANI.
Mlima Kilimanjaro hauko Arusha, uko mkoa Wa Kilimanjaro na Maji Wa Moshi uko chini ya mlima huo.Bustani hii ipo tanzania mkoa wa arusha pale katikati ya mlima kilimanjaro kwenye ile barafu ambayo wengi hawafikagi![]()
YesAnd this its new one?