simba wa dodoma
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 930
- 1,022
au ipo jumba la magogoni
Kama una jibu lilio straight si unasema tu? Kama kila mtu angekuwa anajua kila kitu hii forum ingekuwa haina maana kabisa.Ni kweli jf imekuwa ya ajabu na maswali fulani hebu umiza kichwa soma genesis 2:10 labda utapata hint
Ila kila mtu anasema lake now days wengine wanakwambia Ilikuwa ngorongoro,wengine olduvai george etc ndomana bakini nkachomekea koromije
Ova
Hapo, Palestina, ilipo nchi ya Israeli kwa sasa.jamani wana israel walitoka misri kuelekea kanaani.
kanaani ni wapi?
Walinzi..? Walitokea wapi?? Akina nani hapo walinzi?MKUU HYO BUSTANI HAKUNA ANAYEJUA ILIPO, MUNGU ALIPOWAFUKUZA ADAM NA HAWA, ALIWEKA WALINZI KILA PANDE YA BUSTANI.
Hakuna Mungu ila Allah.Bustani ya Eden ilikuwa katika nchi ya IRAQ kati ya mito ya Tigris na Euphret. Humo walikaa Adam na Hawa ambao yamkini walikuwa Waarabu kwa sababu ndipo walipoumbiwa. Kwa hiyo watu wote duniani chimbuko lao ni Waarabu.Hata hivyo haijulikani ni tarehe gani watu walianza kugawanyika na kuwa mataifa mengi tofauti, kama vile Waafrika,Wazungu,Wachina na wengineo.Historia nayo inasema mtu wa kale kabisa alipatikana katika bara la Afrika.Kwa hiyo inamaanisha Adam na Hawa walitoroka Uarabuni na kuja kufia Africa.Ukweli huu ndio unaomfanya Mwarabu kuwa na imani kuwa hata Mungu ni wa kwao na wala hawachangii na taifa lolote."Hakuna Mungu ila ALLAH" Allah ni Mungu wa Waarabu tu.
Bustani ya Adeni ilikuwa nchi ya Irak.
Kwani ndio kwenye mito iliyokuwa inatumika kumwagilia bustani hiyo.
Mito hiyo ni, Pishoni, wenye dhahabu, Gihoni, unaozunguka nchi ya Kushi, Hidekeli anaopita hadi Ashuru, na mto Frati ambao uko Irak hadi hivi leo.
Ref, Mwanzo 2 : 8 - 15
aiswe..ndo kulikua na maziwa na asali?Hapo, Palestina, ilipo nchi ya Israeli kwa sasa.
Ndio, waliwakuta wapalestina hapo Israel wakiwa na Ng'ombe nyingi tu. Na pia kulikuwa na msitu wenye nyuki wengi na asali tele.aiswe..ndo kulikua na maziwa na asali?
ushaambiwa ipo iraqAisee...ebu tuambie kwanza eden ipo wapi?