mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,983
- 132,337
Hahaha mm naona itakuwa pale mtaa wa lumumbaaHaa haa,wengine wanaweza kusema Chato.
Mbona mambo mengi kuhusu ADAMU na HAWA yamewekwa wazi ila hili la eden linakuwa fumbo?
Ova
Hahaha mm naona itakuwa pale mtaa wa lumumbaaHaa haa,wengine wanaweza kusema Chato.
Mbona mambo mengi kuhusu ADAMU na HAWA yamewekwa wazi ila hili la eden linakuwa fumbo?
Kweli yako ninavyojua bustani ya Eden iko mbinguni na sio ardhiniHiyo ni Siri y'all Mungu
Yaliyofunuliwa ni yetu
Ambayo hayajafunuliwa ni ya Mungu
Lakini inaonekana ni hapa hapa duniani...
Ni Serengeti wakuu....hamjawahi sikia hii kitu?Unajua hii bustani ningekuwa najua ilipo ningeenda kutalii
Mkuu, inaaminika kuwa Bustani hii ilikuwa ktk nchi hiyo kwasababu baadhi ya mito inayotajwa ktk Biblia kutiririsha maji ktk bustani ya Edeni, inasemekana kuwapo huko japo Bustani yenyewe haipo.Kweli yako ninavyojua bustani ya Eden iko mbinguni na sio ardhini
Nimetembea Iraq sana hakuna mahali wamenionyesha kuwa hapa ndio bustani ilipo
Nimeuliza sana
Mkuu, inaaminika kuwa Bustani hii ilikuwa ktk nchi hiyo kwasababu baadhi ya mito inayotajwa ktk Biblia kutiririsha maji ktk bustani ya Edeni, inasemekana kuwapo huko japo Bustani yenyewe haipo kwa sasa .
Historia ni ndefu na hiyo mito nimeiona lakini sijui kama ni hivyo ila nafikiri watoto wa kwanza wa prophet Adam walizaliwa hukoMkuu, inaaminika kuwa Bustani hii ilikuwa ktk nchi hiyo kwasababu baadhi ya mito inayotajwa ktk Biblia kutiririsha maji ktk bustani ya Edeni, inasemekana kuwapo huko japo Bustani yenyewe haipo.
Neno Bustani lisikusumbue sana hii ni Nchi ya Iraq yaani Nchi nzima ndio iliitwa Bustani ya Eden.Hii bustani ambayo 'inasadikika' kuwa waliishi ADAMU NA HAWA/EVA ipo nchi gani?
itakuwa ulaya/asia.Bustani ilikua dunian syo mbinguni ndio sbb hakuna andiko linalosema adam na hawa walitupwa dunian. Bali walifukuzwa bustanini na mungu akaweka malaika kuilinda ili wasiingie tena. So wakaanzisha maisha pembezon mwa bustani