Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

Kidini vile binadamu ameumbwa kutoka Adam na Hawa bustani ya Eden ipo kusikojulikana.na watu wasiojulikana ndo wanajua ilipo. Scientifically hakuna bustani ya Eden maana tulikuwa nyani tunakaa maporini.Uzuri sayansi ina fanya proofs lakini dini ni kuamini tu hivo kila mtu akili kichwani mwake ukijaribu kuangalia nyoka ana miguu mingapi siku ukigundua ana elfu unaweza kufa nenda kanisani au msikitini kasali acha ufukunyungu
Hiyo ya binadamu kuwa ni nyani ni sayansi au historia (sanaa) mkuu ?
 
kwa kungezea tu Adam na Hawa hawakuwa wazungu walikuwa waafrica so wadosi wasitupotoshe kwa michoro yao uchwara.
 
mungu aliposema bustani alimaanisha misitu.

kwa hiyo alipo muumba mwanadam akamuweka kwenye msitu na walikua hawana uwezo wa kutambua mema na mabaya.

evidence hii ndio iliotumiwa na wanahistori wanaposema binadamu alikua akiishi kwenye misitu na walikua na uwezo mdogo wa kufikili.na kila miaka ilivyoenda ndio akili zina kua.

ndiomaana tumeona binadamu wa kwanza inaonekana aliishi afrika ambako ndio kuna misitu mikubwa.


wazungu walitumia vitabu hivyo na ndio imewasukuma kuja kuchunguza holi.na walijuaje basi kama kunasehemu yenye mali na misitu !


hebu tuludi kwenye habari ya kaini ya kumuua mdogo wake na mungu akampa laana kaini kwamba hatavuna mazao maana damu ya mdogo wake ina mlilia na mungu akamfukuza kaini kuondoka ktk aldhi ile ,na kaini akahuzunika na akasema ninakokwenda si wataniua.

mungu akamwambia hakuna wa kukuua nitakuweka alama atakaethubutu atalaaniwa mala 7 yake.
na tukiangalia hadi leo hii mzungu ni lahisi kumuua mtu mweusi lakini sio mtu mweusi kumuua mzungu.

maandiko haya ndio walioyatumia wazungu kuja tena afrika kwenye bustani wakijua kua kuna bustani yenye kila mali na kuanza kuvuna upya.
 
Hii bustani ambayo 'inasadikika' kuwa waliishi ADAMU NA HAWA/EVA ipo nchi gani?
Most Bible commentaries state that the site of the Garden of Eden was in the Middle East, situated somewhere near where the Tigris and Euphrates Rivers are today
 
Ilikuwa Iraq
HAKUNA huo uthibitisho.
mito iliyotajwa kabla ya gharika (inayoifanya ionekane bustani kuwa iraq) sio lazima iwe hiyohiyo baada ya gharika. gharika ilibadili structure na jiographia ya ulimwengu kabla yake.
Kwa hili mimi nasema eden ilikuwepo, ilikuwa maeneo gani, sina uhalali wa kuwa na msimamo juu ya eneo flani la dunia ya sasa.
 
sio lazima iwe hiyohiyo baada ya gharika. gharika ilibadili structure na jiographia ya ulimwengu kabla yake.
Unaweza ukanipa uthibitisho kuwa hiyo gharika ilibadilisha structure..??? Na kwanini ufananishe jiografia na structure....

What is structure...??
What is geograghy..??
 
Back
Top Bottom