akileta video nitagLeta vidio
kuna yule Kigoma Independent tangu juzi amegoma kula analia na kusaga meno eti kisa Masai wa madale kakosa tuzo.Chawa wa domokaya, soon wataokota makopo jalalani mcha kweupe, sio kwa kudata huku khaaah![]()
kuna yule Kigoma Independent tangu juzi amegoma kula analia na kusaga meno eti kisa Masai wa madale kakosa tuzo.



wameshindwa kuiba? Wao si mabingwa wa kucopy, wacopy na hiyo tuzo wafurahi na roho zao, mweeeehatamjuaje Twista wakati kazaliwa Kigoma mwaka 2005Wewe unajua Twista anaweza kutamka ngapi kwa nusu sekunde?😁😂.. Ubishi wa kijiweni huu
Anatoboa kwenda chini sio....Mtabakia hivyo hivyo mwenzenu anazidi kutoboa.
Twista amewekwa kwenye kitabu cha Gines hii ni kutokana na kutamka maneno mengi kwa muda mfupiWa kwanza ni Twista.
Ludacris, busta na wengine wanafuatia
eti hii ndiyo m'badala wa Tuzo ya BET 😀 😀 😀Mmefurahi wenyewe 😂😂 dabliyusibi
Unachomaanisha ni kwamba siyo wa kwanza au?Twista amewekwa kwenye kitabu cha Gines hii ni kutokana na kutamka maneno mengi kwa muda mfupi
Kweli aise...aweke ushahidi mezani.Page ipi ya Insta ameandika hayo? Post ya lini? Explore account ya Busta hutoona huu uongo.
Then ukisema Busta ni No. 1 kwenye tongue twist sio sawa kuna kina Bone thugs n' harmony unawaacha wapi?