Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #61
Umeharakisha mno, vitu vingine huhitaji rocket science kuvielewa ni just the use of common sense.Ndio tunamueleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajirekodi atume clip kwenye mitandaoAnaitaje press conference wakati mikusanyiko imekatazwa?
Au mnataka kumsweka tena?
Kamanda nyie wenye akili hata choo cha ofisi mmeshindwa kujenga hapo ufipaukweli unauma.....umeona eh comrade?
tukiri tu kuwa tulibugi 2015 kwa kuiweka regime ambayo think-tanks wake ni dizaini ya Bashite & Musiba!
Unajua kabisa sio kila aliyemsikia kwenye vyombo vingine vya habari ana uwezo wa kupata hizo habari kwa mtandao.
hayo waachie wana Ufipa.... tuongee ya kwetu hapa Lumumba mtaani.Kamanda nyie wenye akili hata choo cha ofisi mmeshindwa kujenga hapo ufipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Polepole CCM imesitisha mikutano ya nje na ndani! Wewe Wakudadavuwa mtueleze katazo la mikutano liliondolewa lini! Kama halikuwepo mbona vyama vya upinzani haviruhusiwi.
Acha ujinga we Mzee!! una wajukuu sasa watajifumza mimi toka kwako?Ndugu zangu,
Ili kupambana na janga la ugonjwa wa Corona CCM wametangaza kupitia Katibu wa Itikadi na Uenezi leo Ndg. Humphrey Polepole kuahirisha mikutano na mikusanyo yote inayoratibiwa na CCM.
''Ajizi nyumba ya njaa''; Mwenyekiti wa CHADEMA Ndg. Freeman Mbowe bado kakomaa kuhamasisha mikusanyiko ya kisiasa. Hii ndio busara mpya ya KUB?
Bora sisi pale Ubungo Mataa na Morogoro Mwenyekiti alikua peke yake hamna umati uliokuwepoKUB amechanganyikiwa.
Kwa hiyo nikusaidiaje, kwa mfano?Bora sisi pale Ubungo Mataa na Morogoro Mwenyekiti alikua peke yake hamna umati uliokuwepo
Upotoshaji upi kamandaUnajua kabisa sio kila aliyemsikia kwenye vyombo vingine vya habari ana uwezo wa kupata hizo habari kwa mtandao.
Kuna wengine hawana habari kama kuna korona kwetu.
Subirini tu. Muda ukifika atasema.
Acheni upotoshaji.
Muulize MbowePolepole CCM imesitisha mikutano ya nje na ndani! Wewe Wakudadavuwa mtueleze katazo la mikutano liliondolewa lini! Kama halikuwepo mbona vyama vya upinzani haviruhusiwi.
Jikite kwenye hoja kamanda acha kuwewesekaAcha ujinga we Mzee!! una wajukuu sasa watajifumza mimi toka kwako?
Wakudadavuwa huwa anausongo sana na Chadema, Post zake huwa ni zakuwalaumu Chadema, nilidhani baada ya Polepole kusema wamesitisha mikutano ya ndani na ya hadhara angehoji ni lini mikutano ya hadhara iliruhusiwa.Umeharakisha mno, vitu vingine huhitaji rocket science kuvielewa ni just the use of common sense.
P
Kwamba CDM wanataka waendelee na mikutano hata baada ya Waziri mkuu kusitisha mikusanyiko hiyo wakati unajua kabisa tamko la waziri mkuu limekuja baada ya tangazo la Mbowe.
Ndugu zangu,
Ili kupambana na janga la ugonjwa wa Corona CCM wametangaza kupitia Katibu wa Itikadi na Uenezi leo Ndg. Humphrey Polepole kuahirisha mikutano na mikusanyo yote inayoratibiwa na CCM.
''Ajizi nyumba ya njaa''; Mwenyekiti wa CHADEMA Ndg. Freeman Mbowe bado kakomaa kuhamasisha mikusanyiko ya kisiasa. Hii ndio busara mpya ya KUB?