johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Ni Udhaifu mkubwa sana kuahirisha mikutano kwa sababu tu Chopa haipo
Kwa ninavyoijua CCM watashikilia Hapo Hapo kwenye Kibali cha Chopa 😂
Sitashangaa Chadema KUSUSIA Uchaguzi mkuu wa 2025
Kwa ninavyoijua CCM watashikilia Hapo Hapo kwenye Kibali cha Chopa 😂
Sitashangaa Chadema KUSUSIA Uchaguzi mkuu wa 2025