Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,644
eeeeh nalijua hilo basi, nilikuwa nalipanda sana, enzi hizo naenda "monduli"CHAKITO LONG WAY ndo mpango mzima. Unalijua?
eeeeh nalijua hilo basi, nilikuwa nalipanda sana, enzi hizo naenda "monduli"CHAKITO LONG WAY ndo mpango mzima. Unalijua?
Hizo chuki zote zimetokana na nini mkuu?Hilo Tahmeed zilikuwa vifuso mpaka juzi tu.?
Nayachukia kupita maelezo hata nauli ingenkuwa dala na ndani unapata pilao sipandi.
Lenyewe likiwa ccm mi ntakuwa ukawa, likiwa ukawa mi ntakuwa ccm tusikutane sehemu moja.
Nimeambiwa kuna Victoria, Miami, Briston, naweza kupata kwa bei hiyo hadi 45,000 tena double. Unaifahamu Briston Hotel?Kwa Hotel
Usijidanganye na hiyo pesa labda ukalale Lexus pale Njiro ila kwa hotel waweza enda Joshmal ndo ni 50,per day
Nenda hapo Shekilango offfice zao zipo hapo...!Una namba zao za simu mkuu?
Nilisafiri kwenda Arusha juzi kati pale nikapanda libasi fulani hivi tingatinga(jina silitaji nisije onekana nina majungu) wale jamaa wapiga debe wakalipamba lile tingatinga nikawapa nauli 25,000! mbaya zaidi ndio ilikua mara ya kwanza kwenda huko!
Niliichukia ile safari aisee! masiti yenyewe ni 2*3 huku vitoto vinalia!! gari ni kuukuu! nilikaa dirishani siti ya watu 3 kero tupu mara huyu anataka nimuitie wa korosho! mara huyu hivi! Next time siji kurudia ule ujinga. Mabasi ya kupanda nimeshayajua sasa watanikoma.