Basi zuri(Full Luxury) kuliko yote njia ya Dar -Arusha ni Tahmeed.baadhi ya hudumu zilizopo ndani ya basi ni 1.Huduma ya choo, 2.Huduma ya wifi bure 3.,Soft drinks bure(Maji na soda),Full AC, Seat zake ni nzuri,speed yai ni nzuri n.k.Ni Tahmeed pekee ambayo ukisoma mlangoni utakuta Sumatra wameandika (Daraja la Juu).nauli yao ni 33,000.Japo kipindi hiki nasikia wameshusha nauli mpaka 28,000(Sina uhakika). Ukiacha Tahmeed mabasi mengine ya dar -arusha yanafanana tu yote ni yale anbayo Sumatra wanayaita ya daraja la kati au daraja la kawaida.