Bus gani zuri Dar - Babati?

Bus gani zuri Dar - Babati?

Gari nzuri ni mbili 2.... Pole pole ile mpya....ukikuta ya zamani usipande......na God is One...Yaliyobaki ukipanda utaboreka ukiwa ndani ya gari
 
2000hrs ni kama utapanda ya moja kwa moja yan ya kupita dodoma na singida ila kama utaunga hiyo kili xpless ya arusha unaeza fika 2300hrs au ukalala kabisa arusha maana kuna mda hata gar za arusha town-babati huwa hakuna......nauli zao huwa hazizid 35000
kuhusu gar ni bora ukachukua mtei japo ni mabovu maana ikihalibika huwa anafaulisha kwa gar zake za kalibu na ajal mf ana gar singida,Hanang ila hao wengne ikihalibika utangoja watengeneze au wakodi kwa wengine..,

safar yako ya hiki kipindi imenikumbusha wakat naenda kulangua mbaazi na alizet maana ndio msimu wake huu japo mbaazi wakwe najua watakuwa washawauzia wahindi zote....wasalimie hospital ya mlala,endakiso,galapo,mamile,dongobesh nk

babati nitaludi kama sio kwa mazao bhas nitafta mke wa pili....."wanasalim kwa kusema haidomaa" so utawajib haidolii ila mkubwa akikwambia "saitaa" sema sayuu..
Umenikumbusha enzi zile niko dareda sec.tulikuwa tunayatimia mabasi ya mtei ama prince line kwani mmiliki wake yuko gongoh na ilikuwa rahisi kuyakodi
 
Mtei ndo master wa hiyo route. Dar-BBT via Dodoma.
Sema gari zake sio Luxury ila ni za uhakika. Otherwise Polepole ana gari mpya ambayo ni luxury. Ila Karibu sana Babati. Niko Nyunguu hapa. Ukifika ukahitaji conpany ya wana JF wenzio pm me
Nyunguuu! Napapata sana hapo karibu na tank la maji na Msikiti.
 
Panda bus linaitwa pole pole au God is love ndio pamba hizo
 
Nahitaji kusafiri kesho, naomba msaada wa bus zuri from Dar to Babati.

Asanteni.
Unapitia njia ipi kama Arusha ni vidaladala vya kumwaga na kama kupitia Dodoma,Singida hadi Babati mabasi ni mengi tu ,ila sijawahi kuona basi la moja kwa moja la Dar hadi Babati
 
Back
Top Bottom