Justin700
Senior Member
- Sep 11, 2016
- 178
- 153
Panda gari za Kilimanjaro Express kwenda Arusha,kisha ukapande Mabasi ya Singida yatakuacha Babati.
Wewe mdanganye akalale arusha.
Panda gari za Kilimanjaro Express kwenda Arusha,kisha ukapande Mabasi ya Singida yatakuacha Babati.
Polepole au Mtei ndo ninazozijuanaitaji kusafiri kesho naomba msaada wa bus zuri from dsm to babati asanteni
Okay maana pamoja ngarangara zake lakini unawah fika na ninachowapendea madereva wake wengi ni mafundi wazuri sana na hawakosi fundi wa zarula ndani ya basi Ni Kama meridian za rombo!Hajafilisika isipokuwa ameyumba kidogo.
Lipo la dar to babatiSijakuelewa
naitaji kusafiri kesho naomba msaada wa bus zuri from dsm to babati asanteni
hajafilisika ila nadhani kila kitu kina zama zake ndio maana japo kuwa dully sykes na juma nature ni wakali sasa hivi wanonekana si kitu mbele ya diamond na ally kiba kwakuwa zama zao zimekwisha!,mtei anatumia scania ambazo ni imara sana ila watu wanapenda yutong kwakuwa body ni nzur!Ina maana MTEI imefilisika?
heee unauliza maji baharini?Hutaki lift?
We nae umeathiliwa na magari mabovu wenzio wanamshauri apande pole pole maana ni mapya wewe umeshupaa na mtei Mara wanafundi wa dharula Mara madereva wao wote mafundi.Okay maana pamoja ngarangara zake lakini unawah fika na ninachowapendea madereva wake wengi ni mafundi wazuri sana na hawakosi fundi wa zarula ndani ya basi Ni Kama meridian za rombo!
asanteni mkuu ila isije ikawa wana gari moja jipya mengine fixWe nae umeathiliwa na magari mabovu wenzio wanamshauri apande pole pole maana ni mapya wewe umeshupaa na mtei Mara wanafundi wa dharula Mara madereva wao wote mafundi.
Acha mahaba, miss natafuta panda pole pole dar babati via singda nauli 33 kufika ni saa mbili. Achana mangarangara mengine
Kwahilo sina jibu ila ameingiza magari mpya DEC so sidhani kama ataendelea kutumia ya zamani kwa rout hiyoasanteni mkuu ila isije ikawa wana gari moja jipya mengine fix
Ila kama unataka ufike mapema babati,
Panda ngorika ya kwanza ya Arusha nakwambia kabla ya saa moja upo babati,
Ile lollipop hakuna kula njiani siti Ni 3/2 mnanuniana mpaka mnaingia Arusha.
Chakufanya wahi kwenda stendi fika mpaka basi lilipo ukishaliona ndipo ukate tiketi . usiwe na hofu abiria ni wachache sana so nafasi utapata tu.asanteni mkuu ila isije ikawa wana gari moja jipya mengine fix
hajafilisika ila nadhani kila kitu kina zama zake ndio maana japo kuwa dully sykes na juma nature ni wakali sasa hivi wanonekana si kitu mbele ya diamond na ally kiba kwakuwa zama zao zimekwisha!,mtei anatumia scania ambazo ni imara sana ila watu wanapenda yutong kwakuwa body ni nzur!
Mengi tu hata muro analoHivi magari ya 3/2 bado yapo?
Wewe Miss Natafuta si ulituahidi kwamba hautaonekana hapa kwa hiyo ID yako, sasa imekuwaje tena? Au Mr Natafuta amekumwaga tena?Nahitaji kusafiri kesho, naomba msaada wa bus zuri from Dar to Babati.
Asanteni.
Route za dar bbt hawatozi naulinauli ni sh ngapi mkuu?
Mtei expressNahitaji kusafiri kesho, naomba msaada wa bus zuri from Dar to Babati.
Asanteni.