Mzee wa Ndogo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 204
- 79
Ila kama mtu wa mizigo joshmal panamfaaJirani na Kanisa la Mungu.
Ila kama mtu wa mizigo joshmal panamfaaJirani na Kanisa la Mungu.
Ila kama mtu wa mizigo joshmal panamfaa
Ipo MteiHakuna gari ya Babati - Dar kupitia Arusha labda za kuunga unga.
km aina ya bus ni yutong,km ni jina la kampuni ya bus ni---------------Nahitaji kusafiri kesho, naomba msaada wa bus zuri from Dar to Babati.
Asanteni.
Uwiiiiiiiiiii! tunasubiri manyoya.Hutaki lift?
Kwa kupitia Arusha kwa ukaguzi na mwendo wa siku ya pili jiandae kulala Arusha. Ukifika Arusha nitafute (Husinijibu unitafutie nin kama ulivyomjibu shushushui!!!)Nahitaji kusafiri kesho, naomba msaada wa bus zuri from Dar to Babati.
Asanteni.
hivi alikujaga kweli miss natafuta??,,km alikuja nilimkosa aisee mm nipo Mrara kwere mkuu,,,,,tujuane banaMtei ndo master wa hiyo route. Dar-BBT via Dodoma.
Sema gari zake sio Luxury ila ni za uhakika. Otherwise Polepole ana gari mpya ambayo ni luxury. Ila Karibu sana Babati. Niko Nyunguu hapa. Ukifika ukahitaji conpany ya wana JF wenzio pm me