Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,612
pole pole zote ni mpya?
Mpya zote Yutong
pole pole zote ni mpya?
sawa mkuu leo si nitapata nafasi ya kesho?Mpya zote Yutong
God is one ni two by two na pole pole yote mazuri tuinaitaji kusafiri kesho naomba msaada wa bus zuri from dsm to babati asanteni
Mkuu swali gumu kidogo maana sifanyi kazi kwao mimi ni mkulima, nenda Ubungo ofisi zao zipo pale, bado mapema sana. Pia biashara ni ngumu sana kwa sasa abiria ni wachache sababu shule hazijafunguliwa.sawa mkuu leo si nitapata nafasi ya kesho?
Tafuta gari inaitwa god is one,otherwise mtei,usijarbu kpanda princeline Wala Pole Pole nilishalala njian
2000hrsnitafika saa ngapi?
nauli sh ngapi mkuu?Mkuu swali gumu kidogo maana sifanyi kazi kwao mimi ni mkulima, nenda Ubungo ofisi zao zipo pale, bado mapema sana. Pia biashara ni ngumu sana kwa sasa abiria ni wachache sababu shule hazijafunguliwa.
nauli ni sh ngapi mkuu?Pole pole wana two by two mpya ipo km God is one
Pole pole ni elfu 33, gari zingine elfu 30nauli sh ngapi mkuu?
ok asante sanaPole pole ni elfu 33, gari zingine elfu 30
Umesema kweli barabara ya Arusha ni jam hasa.2000hrs ni kama utapanda ya moja kwa moja yan ya kupita dodoma na singida ila kama utaunga hiyo kili xpless ya arusha unaeza fika 2300hrs au ukalala kabisa arusha maana kuna mda hata gar za arusha town-babati huwa hakuna......
Hakuna gari ya Babati - Dar kupitia Arusha labda za kuunga unga.
Karibu MraraMtei ndo master wa hiyo route. Dar-BBT via Dodoma.
Sema gari zake sio Luxury ila ni za uhakika. Otherwise Polepole ana gari mpya ambayo ni luxury. Ila Karibu sana Babati. Niko Nyunguu hapa. Ukifika ukahitaji conpany ya wana JF wenzio pm me
Hajafilisika isipokuwa ameyumba kidogo.Ina maana MTEI imefilisika?
God is one inaishia Moro, Pole pole ni mpya za mwezi wa 12 achana na ya zamani.[/QUOTE
Ipo mkuuu ya dar babati
Hutaki lift?naitaji kusafiri kesho naomba msaada wa bus zuri from dsm to babati asanteni