Burundi nao waitosa Tanzania!

Burundi nao waitosa Tanzania!

mimi siyo mchumi lakini uchumi wa brazil kuupita ule wa britain ni sawa na uchumi wa china ulivyopita ule wa japan,siyo kwamba chumi za uingereza na japan zimezorota hapana ila chumi za brazil na china zimeongezeka,lakini pamoja na hayo zingatia kwamba brazil ina pop ya watu mill200 wakati britain ni mill60 tu hivyo basi per cap income ya england ni almost mara 3.5 ya ile ya brazil hivyo bado wanainchi wa brazil wana kazi kubwa kuja kufikia standard ya maisha ya england!!!!

Ubishi mwingine hauna maana. Uingereza sasa ivi ni wamechoka. Kama unaangalia per capita income basi Quatar ni tajiri kuliko USA
 
hata ng'ombe nao wananunua na kuchinja wanaweka kwenye viwanda vyao tatizo letu ni siasa nyingi mbona nchi za asia hazina rasilimali wala hazikuungana zina maendeleo makubwa tusomeshe watu wetu tuwe na sheria kali za maadili halafu tuone kama watatuletea ujinga wao kwanza museveni amalizie deni letu la vita vya uganda
 
Mkuu Wacha1, muulize GOOGLE atakupa majibu yote.....

Barack Obama: Britain should stay in the EU - Telegraph

EU exit would put US trade deal at risk, Britain warned | World news | The Guardian

BBC News - Brazil 'overtakes UK's economy'

Story za Mchina huwezi kuziona kwenye hizo Media zenu zinazotawala dunia nzima. Wengine tunachambua hadi Media ndogo ndogo za nchi tofauti na huko ndiyo waweza kusikia News za Mchina. Mchina aliingilia hata kuokoa uchumi wa Greece kwa sababu tu EU ikivunjika, Ulaya itakuwa matatani na siyo siri, EU ndiyo soko kubwa sana la Mchina.

Mchina siyo MJINGA kama tunavyomuona hapo Tanzania. Sisi wanatuletea Wadhaifu hadi wanavalishwa bendera ya CCM na Kinana/Nape. Ovyo kabisa hawa wanaoletwa Africa/Tanzania.

EU sio Political federation, ni jumuia inayohusu uchumi, na free movement pekee. Na tena kwa baadhi ya nchi. Mwananchi mfano wa Romania ama Bulgaria haruhusiwi kufanya kazi ktk nchi za EU mpaka apate kibali maalum.

EU walipofika, hata wakiruhusu kununua ardhi ni sawa tu kwamba hawakuruhusu, maana wananchi wa EU kwa 99% hawawezi nunua ardhi, mpaka wakopeshwe hivyo ukwaaji wa land kwa mtindo wa mass hauwezi tokea. Ni sawa na Kenya kwao land sio issue maana wanajua haitawezekana wageni ku grab land.

Tanzania nafikiri ipo kwenye msimamo sahihi, kwamba tushirikiane kwa uchumi, mambo ya forodha, na kwenye single currency haya mambo ya political federation na land yawekwe kando kwanza. Binafsi sioni tatizo kabisa kwa msimamo wa TZ.
 
Sisi Muungano wa ndani ya nchi tulikwisha ufanya siku nyingi.

Hebu fikiria kwamba Tanzania tunaweza kuoana kiulaini kabisa kati ya makabila zaidi ya 126.

Nenda Kenya Uganda kwa mfano Mkikuyu kuolewa na Mjaluo??

HAta hapa USA wakifanya Party utawaona wako kwenye makundi, wakati sisi watanzania hiyo kitu hata hatuijui.
 
Wanahasira wanataka ardhi yetu na sisi hatupo tayari kutoa ardhi kwa kila mtu. Urafiki na Kagame sio kitu cha kudumu. Museveni bado anaota kuja kuwa rais wa kwanza wa Africa Mashariki. Kimsingi tukiongolea masuala ya utawala bora kwenye hii jumuia itavunjika fasta maana mtu kama Mseveni na Kagame hawatakiwi kuendelea kuwa madarakani kwani wamekaa muda mrefu mno.
 
Ukitaka kuona EU wanajitoa mmoja wao a propose fast-track political federation, ha ha ha ha. Watu wasizuge, hata humo wananchi wa EU ukihamia kwenye nchi nyingine lazima ukajisajiri kwenye ofsi za serikali, na serikali inakupa namba, hiyo namba ndo utaitumia kutafuta kazi, na kupanga nyumba ya kuishi. otherwise, unakuwa illegal
 
Hakika hawa jamaa waliitamani sana ardhi yetu, hivi sana wanahaha, viongozi wetu kazeni buti.
 
Kama taifa bila kujali itikadi ni wakati mzuri wa kutafakari kwa nini taifa hili lina rasilimali-asili nyingi kuliko mengine hapa AFRIKA MASHARIKI,liko sehemu nzuri KIJIOGRAFIA kuliko mengine yote,lina idadi kubwa ya watu(soko) na lina bahati ya kuwa na utulivu(SIYO AMANI) kuliko mengine na jina jema kimataifa(kwenye harakati za ukombozi)lakini limebakia kulialia na kuombaomba na kulalamalalama na kujikomba kwa majirani jumlisha na umaskini wa kulazimishwa? Walau kipindi hiki JUMUIYA IKIVUNJIKA HATUTAKUWA NA VINGI VYA KUGOMBANIA kama ilivyokuwa 1977.Sijui wastaafu waliodhulumiwa mafao yao ya iliyokuwa JUMUIYA wanalionaje anguko hili linalojionesha kila siku?
 
Ubishi mwingine hauna maana. Uingereza sasa ivi ni wamechoka. Kama unaangalia per capita income basi Saudi Arabia ni tajiri kuliko USA

mkuu hujanielewa vizuri kuna vigezo vingi vya kupima utajiri wa nchi kwa kipimo chako cha gdp tu basi utasema nchi kama india ni tajiri kuliko sweden, kitu ambacho siyo halafu per capita ppr income ya us ni dollar 50610 wakati ya saudia ni 25000 hivyo us ni tajiri kuliko saudia.chukua mfano halisia watanzania kumi wape wachague kuishi uk au china nadhani jibu unalo wote watachagua uk pamoja na kwamba china kwa gdp ni ya pili kwa baada us.
 
Umesoma hizo LINK lakini au unajiishia tu UK bila kufahamu mambo yalivyo? Anyway, umesema vizuri kuwa WEWE SI MCHUMI na pamoja na kutokuwa Mchumi, basi hata huhangaishi akili kidogo kusoma wanaposema Brazil kampita UK.

Jiulize kwa nini Britain walishangilia kifo cha Iron Lady Thatcher. Kupeleka viwanda nje, kumeleta nafuu kwa Wenye mali ila watu wa kawaida mtaani, ni Msoto mkali. Unajua maana ya kupoteza kazi wewe na ubaki ukisubiri UB 40?

Rust-in-peace-via-AFP.jpg

mimi siyo mchumi lakini uchumi wa brazil kuupita ule wa britain ni sawa na uchumi wa china ulivyopita ule wa japan,siyo kwamba chumi za uingereza na japan zimezorota hapana ila chumi za brazil na china zimeongezeka,lakini pamoja na hayo zingatia kwamba brazil ina pop ya watu mill200 wakati britain ni mill60 tu hivyo basi per cap income ya england ni almost mara 3.5 ya ile ya brazil hivyo bado wanainchi wa brazil wana kazi kubwa kuja kufikia standard ya maisha ya england!!!!
 
Nimeshaona Watanzania wengi tu wakikimbia Ulaya, USA na wakirudi Tanzania..... unataka kusema nini vile?

Kuna jamaa alipaishwa kutoka UK na sasa anatafuta anwani ya POLISI aliyemkamata ili amtumie zawadi ambayo jamaa hajawahi kuipata maishani kwa sababu jamaa kwa sasa yupo juu sana kimaisha hapa hapa Tanzania.
mkuu hujanielewa vizuri kuna vigezo vingi vya kupima utajiri wa nchi kwa kipimo chako cha gdp tu basi utasema nchi kama india ni tajiri kuliko sweden, kitu ambacho siyo halafu per capita ppr income ya us ni dollar 50610 wakati ya saudia ni 25000 hivyo us ni tajiri kuliko saudia.chukua mfano halisia watanzania kumi wape wachague kuishi uk au china nadhani jibu unalo wote watachagua uk pamoja na kwamba china kwa gdp ni ya pili kwa baada us.
 
Sioni haja ya kuingia katika shirikisho bila utafiti wa kutosha, waacheni wakurupuke watasambaratika muda si mrefu maana hawajui watendalo wanachukulia vitu kirahisirahisi tu.
 
Sijajua kama ulikuwa unanijibu mimi huko chini au mwingine maana mambo ya ARDHI mie sijayaongelea kabisa.

EU ni Political Federation Mkuu ila ni mambo chini ya MEZA. Kwa mwenzangu mimi siyo rahisi kuyaona. Ingelikuwa ni rahisi kama unavyodhani, basi wangelimuachia Mgiriki, Italiano, Mreno na Hispania wazame kwenye dimbwi la tatizo la uchumi. Ila mambo siyo rahisi kiasi hivyo. Ni rahisi kuingia kwenye umoja kuliko kutoka ndani ya EU. Siyo kama sisi hapa Africa unaingia na kutoka kwenye umoja kama Choo cha Bus Stop.
EU sio Political federation, ni jumuia inayohusu uchumi, na free movement pekee. Na tena kwa baadhi ya nchi. Mwananchi mfano wa Romania ama Bulgaria haruhusiwi kufanya kazi ktk nchi za EU mpaka apate kibali maalum.

EU walipofika, hata wakiruhusu kununua ardhi ni sawa tu kwamba hawakuruhusu, maana wananchi wa EU kwa 99% hawawezi nunua ardhi, mpaka wakopeshwe hivyo ukwaaji wa land kwa mtindo wa mass hauwezi tokea. Ni sawa na Kenya kwao land sio issue maana wanajua haitawezekana wageni ku grab land.

Tanzania nafikiri ipo kwenye msimamo sahihi, kwamba tushirikiane kwa uchumi, mambo ya forodha, na kwenye single currency haya mambo ya political federation na land yawekwe kando kwanza. Binafsi sioni tatizo kabisa kwa msimamo wa TZ.
 
Sijajua kama ulikuwa unanijibu mimi huko chini au mwingine maana mambo ya ARDHI mie sijayaongelea kabisa.

EU ni Political Federation Mkuu ila ni mambo chini ya MEZA. Kwa mwenzangu mimi siyo rahisi kuyaona. Ingelikuwa ni rahisi kama unavyodhani, basi wangelimuachia Mgiriki, Italiano, Mreno na Hispania wazame kwenye dimbwi la tatizo la uchumi. Ila mambo siyo rahisi kiasi hivyo. Ni rahisi kuingia kwenye umoja kuliko kutoka ndani ya EU. Siyo kama sisi hapa Africa unaingia na kutoka kwenye umoja kama Choo cha Bus Stop.

Mkuu
Hilo la ardhi nilikuwa sikujibu wewe, bali kwa ujumla nilikuwa najaribu kuelezea kidogo. EU sio political federation, labda kama mmeamua kuipa definition tofauti.
Political federation mie nijuavyo, hizi state zinaungana na kunakuwa na federal government.
Ugiriki wanaibeba, si kwa sababu ya EU bali ni kwa sababu ya euro zone, yani nchi wanazotumia euro. Ugiriki walidanganya kuingia euro zone, nahivyo ugiriki ikitoka euro zone ndo uchumi wa euro zone ndo utayumba na ndio maana wameng'ang'ania kuwasaidia.
Kingine ugiriki wamekopoa hela nyingi ndani ya euro ina maana kung'oka kwao euro zone, uchumi wa euro zone utayumba isivyo kawaida. Hii sio political federation na wala sio EU bali ni euro zone. Ndiyo maana ktk sakata hili waingereza wala wa polish hawajisumbui nalo maana wao sio euro zone wanatumia fedha zao. Tatizo linalowaandama Ujerumani,wafaransa,ugiriki,spain,italia,Ireland ni matumizi ya single currency, wala hakuna cha political federation.
 
"Federal Europe will be 'a reality in a few years', says Jose Manuel Barroso

A fully fledged federal Europe may seem like "political science fiction" today but will soon become reality for all European Union countries whether inside or outside the euro, Jose Manuel Barroso has said."
"This is about the economic and monetary union but for the EU as a whole," he said.

http://www.telegraph.co.uk/news/wor...-in-a-few-years-says-Jose-Manuel-Barroso.html
 
Umshasikia Sheria za EU? Kuna Mbongo kasoma hizo sheria. Baadhi ya Nationalist huwa wanalalamika kuwa nchi zao ziliuzwa na kupoteza Uhuru wake. Ndiyo maana Britain wakataka kujitoa na Barroso anasema FULL, ikiwa na maana wameshaingia tayari ila siyo full. Siyo kama kamuungano ketu ka EAU. Wenzetu wana hadi mahakama ambako nchi dhaifu hushindwa kesi kila siku, you know what i mean.
Mkuu
Hilo la ardhi nilikuwa sikujibu wewe, bali kwa ujumla nilikuwa najaribu kuelezea kidogo. EU sio political federation, labda kama mmeamua kuipa definition tofauti.
Political federation mie nijuavyo, hizi state zinaungana na kunakuwa na federal government.
Ugiriki wanaibeba, si kwa sababu ya EU bali ni kwa sababu ya euro zone, yani nchi wanazotumia euro. Ugiriki walidanganya kuingia euro zone, nahivyo ugiriki ikitoka euro zone ndo uchumi wa euro zone ndo utayumba na ndio maana wameng'ang'ania kuwasaidia.
Kingine ugiriki wamekopoa hela nyingi ndani ya euro ina maana kung'oka kwao euro zone, uchumi wa euro zone utayumba isivyo kawaida. Hii sio political federation na wala sio EU bali ni euro zone. Ndiyo maana ktk sakata hili waingereza wala wa polish hawajisumbui nalo maana wao sio euro zone wanatumia fedha zao. Tatizo linalowaandama Ujerumani,wafaransa,ugiriki,spain,italia,Ireland ni matumizi ya single currency, wala hakuna cha political federation.
 
Back
Top Bottom